Jifunze kumuacha aende

Jifunze kumuacha aende

Tatizo utakuta kuna mwanamke anakupenda na yuko tayari kufa juu yako lakini wewe hauna mapenzi naye kama akupendavyo. Utajitahidi kutompigia simu au kutomuona, utashangaa siku ya siku anakupigia simu anataka kujuwa uko wapi na unafanya nini, huku akikulaumu mbona haumtafuti. Mimi ilinikuta hii, kuna mdada alitaka nimgegede akidai ana miaka miwili hajasuguliwa, kwa huruma wangu nikampoza kwa kumpa raha ya mbinguni.

Cha kushangaza, yeye akawa anawaambia wenzake mtaani kuwa mimi ni mtu wake wakati si kweli, mimi sikuwa na sijawahi kumpenda yule demu hata kidogo na hatuendani hata kidogo. Hapa najuta kwanini nilimpa uroda yule mdada, yaani sina hata chembe moja ndani ya moyo wangu inayompenda yeye, nashangaa sasa hivi yuko anawaambia wenzake kuwa mimi mshenzi, mwanamke feki, sina issue. Kwenye Instagram yake aachi kubandika status za kijinga kuwa alimpenda mtu na kuchezewa, niligundua hili baada ya yeye mwenyewe kuniambia nicheki status yake.

Kuna wanawake wajinga sana, unapenda mtu asiyekupenda kweli kisha unajichanganya akili?
Kweli we jamaa mbishi
 
Nipo kwenye hali kama hii nahitaj ushaur nahis kabisa dem wang yuko na mshkaj mwingine maana Jana kuna msela kaniambia uyo mshkaj kawatambulish kuw ndo shemej yao nimemuuliz kakataa kata kata ananiambia inamaana huniamini kiukweli nampend Sana tu Ila nahisi hanipnd kama ninavy mpend nilish jikaza nikamkazia siku mbili cjamtafuta akaja kunifwata unadhan niliwez kujizuia hisia zang ss nilijikuta tu nimemkumbatia cjui nifanyaje yaan dah ninawakat mgum mno
Usiwe unamwambia kila saa nakupenda baby, i love you so much, nakupenda ujue... Ah achana na swaga hizo hapo ndipo anapoku overtake, kupenda sio kubaya ila kupenda kupitiliza ndiyo mbaya utachezewa mibuyu hapo utajiona umerogwa, halafu mapenzi yalivyo sasa yanakupotezea directions kabisa mapenzi ni madawa ya kulevya ukiyaendekeza yana kufyatua
 
Ndio mkuu hujakosea kbs
Amka hapo umelala sana usingizi.. Mapenzi yalikua enzi za wakina bibi kidude siku hizi hakuna kitu we utalia weee yeye pembeni anafurahi usimuonyeshe machozi yako hayamstahili
 
Tatizo utakuta kuna mwanamke anakupenda na yuko tayari kufa juu yako lakini wewe hauna mapenzi naye kama akupendavyo. Utajitahidi kutompigia simu au kutomuona, utashangaa siku ya siku anakupigia simu anataka kujuwa uko wapi na unafanya nini, huku akikulaumu mbona haumtafuti. Mimi ilinikuta hii, kuna mdada alitaka nimgegede akidai ana miaka miwili hajasuguliwa, kwa huruma wangu nikampoza kwa kumpa raha ya mbinguni.

Cha kushangaza, yeye akawa anawaambia wenzake mtaani kuwa mimi ni mtu wake wakati si kweli, mimi sikuwa na sijawahi kumpenda yule demu hata kidogo na hatuendani hata kidogo. Hapa najuta kwanini nilimpa uroda yule mdada, yaani sina hata chembe moja ndani ya moyo wangu inayompenda yeye, nashangaa sasa hivi yuko anawaambia wenzake kuwa mimi mshenzi, mwanamke feki, sina issue. Kwenye Instagram yake aachi kubandika status za kijinga kuwa alimpenda mtu na kuchezewa, niligundua hili baada ya yeye mwenyewe kuniambia nicheki status yake.

Kuna wanawake wajinga sana, unapenda mtu asiyekupenda kweli kisha unajichanganya akili?
Mwanamke feki?

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo utakuta kuna mwanamke anakupenda na yuko tayari kufa juu yako lakini wewe hauna mapenzi naye kama akupendavyo. Utajitahidi kutompigia simu au kutomuona, utashangaa siku ya siku anakupigia simu anataka kujuwa uko wapi na unafanya nini, huku akikulaumu mbona haumtafuti. Mimi ilinikuta hii, kuna mdada alitaka nimgegede akidai ana miaka miwili hajasuguliwa, kwa huruma wangu nikampoza kwa kumpa raha ya mbinguni.

Cha kushangaza, yeye akawa anawaambia wenzake mtaani kuwa mimi ni mtu wake wakati si kweli, mimi sikuwa na sijawahi kumpenda yule demu hata kidogo na hatuendani hata kidogo. Hapa najuta kwanini nilimpa uroda yule mdada, yaani sina hata chembe moja ndani ya moyo wangu inayompenda yeye, nashangaa sasa hivi yuko anawaambia wenzake kuwa mimi mshenzi, mwanamke feki, sina issue. Kwenye Instagram yake aachi kubandika status za kijinga kuwa alimpenda mtu na kuchezewa, niligundua hili baada ya yeye mwenyewe kuniambia nicheki status yake.

Kuna wanawake wajinga sana, unapenda mtu asiyekupenda kweli kisha unajichanganya akili?


Hongera kwa kujitambua walau umeonesha msimamo fulani.

Sema umekosea ulivyokubali kumla,

Tena una bahati si ajabu angekutegeshea mimba au kukuchomekea ya Mwanaume mwingine.

Halafu ukijenga mazoea naye anakuchukua inputs nakwambia huchomoki!

Kama ni ndoa yako itaingia misukosuko isoisha na pengine kuachana.
 
Hongera kwa kujitambua walau umeonesha msimamo fulani.

Sema umekosea ulivyokubali kumla,

Tena una bahati si ajabu angekutegeshea mimba au kukuchomekea ya Mwanaume mwingine.

Halafu ukijenga mazoea naye anakuchukua inputs nakwambia huchomoki!

Kama ni ndoa yako itaingia misukosuko isoisha na pengine kuachana.
Ni kweli ila silalagi na demu nisiyempenda bila kinga....na kama ulivyosema, huyu demu ana dalili zote za kuwa mpulizaji unga kwa ndoa za Watu, yaani sikuwahi mkubali hata kidogo, hata nilipomla uroda nilisikitika sana kwanini nilifanya vile. Naona kama ana majini machafu mwilini mwake.
 
Back
Top Bottom