Jifunze kumuacha aende

Jifunze kumuacha aende

Yaani mimi ndo najua kabisa siwezi kumuacha na yeye anajua kwamba kwake nimefika. Siwezi kumuacha kama atanitesa poa tu imladi nipo naye .akiamua kuniacha aisee nitamuomba hata niwe mchepuko wake hata kama akiamua kuoa..ila kumuacha big NO. SIMUACHI
Ni pagumu sana hapo mkuu, mapenzi ni hisia ngumu sana mwilini na akilini mwa binadamu. Nazungumza kwa experience kwa kuwa mara kadhaa imekuwa ikintokea kumpenda mtu sana mpaka kufikia wasaa nashindwa kuachana nae. Sio kwamba siwezi ila tu nakuwa najenga imani tu kuwa yatakwisha. Uzuri ni kuwa naye ananipenda mno hivyo pia hawezi ruhusu mpaka kufikia hatua ya sisi kutengana. Ingawa kuna wakati ilishatokea hivyo ila haruhusu tuachane alilia sana kwa ajili yangu.
 
kama mm sema nimeenda kroho upand nataman ata anipigie cm japo hajatulia sema itakuwa umackin umechangia na mm baada ya hapo nimeelimika cingii in relation kama cna hela watajaninyang'anya tonge tena
Hahaha pole mkuu tatizo ulijichanganya kuchukua demu cheap, ku fall in love na kicheche ni sawa na kulima mpunga jangwani kamwe hauwezi kumea!
 
Kuna mmoja nipo nae mpaka leo..nikigombana nae mwisho wa ugomvi ananiuliza "kwahiyo ww unaamua nini mpaka sasa hvi??" Anataka niseme tuachane....aiseee mapenz buanaa
Hio hatua ngumu sana ikiwa ushazama na unajua pia anakupenda ila drama tu, atakuwa na kiburi tu coz anajua kwake hupindui. Other than that ana pengine pa kupumzikia siku mkikwazana ndio mapenzi ya kibongo yalivyo yani ukisema usepe week nyingi utashangaa profile yake ina ua jipya!
Vumilia tu kama una malengo nae.
 
Naomba msaada ndugu zangu, nampenzi wangu nampenda San na anatarajia kufanya necta mwaka huu naamanisha mwezi hujao kuanzia mwezi wa name alinambia kuanzia SAS niache nisome sitakuwa karibu Sana na wew nikamuelewa nikampa nafas lakin nlivumilia nikashindwa nikawa namuhtaj hats one time halinikatalia kabisa ilifika hatua had tukawa tunagombana nikajipa moyo mwenyew nikajua uvumilivu lazma kweny ngoja nvumlie tangy mwezi was name mpak sasa cjakutana nae kimapenzi OK nilikubali kuvumilia a some lakini kinachonitia Shaka binti hanitafuti kabisa had nmtafute Mimi anaingia WhatsApp anashindw hat kunitext jaman ndugu zangu nfanye nn hapa nampenda San guy binti. Ahsanten
 
nimewahi kugundua analiwa na mtu mwingine zaidi yangu nikasamehe..akabeba mimba yangu akatoa kisa anaogopa wazazi wakijua nikasamehe..anachati na simu mpaka sa saba mimi naenda kulala namuacha kwenye kochi..niliyavumilia yote kisa nampenda aliponiambia tuachane sikuweza kuvumilia niliumia sana..

sasa yapata miezi nane nishamsahau na maisha yanaenda


MUACHE AENDE
 
Naomba msaada ndugu zangu, nampenzi wangu nampenda San na anatarajia kufanya necta mwaka huu naamanisha mwezi hujao kuanzia mwezi wa name alinambia kuanzia SAS niache nisome sitakuwa karibu Sana na wew nikamuelewa nikampa nafas lakin nlivumilia nikashindwa nikawa namuhtaj hats one time halinikatalia kabisa ilifika hatua had tukawa tunagombana nikajipa moyo mwenyew nikajua uvumilivu lazma kweny ngoja nvumlie tangy mwezi was name mpak sasa cjakutana nae kimapenzi OK nilikubali kuvumilia a some lakini kinachonitia Shaka binti hanitafuti kabisa had nmtafute Mimi anaingia WhatsApp anashindw hat kunitext jaman ndugu zangu nfanye nn hapa nampenda San guy binti. Ahsanten
Ni hiv mpe huo muda anao hitaji. Wewe endelea na kazi zako. Kama anakupenda kweli atakutafuta lakin kama hakupendi hatajiangaisha hata kwa sms. Hapo moyo unauma ndio lakin songa mbele.. ni mitihani ya maisha
 
• Kamwe usihisi kama ulimwengu ndio unakaribia mwisho pale akupendae anapokuacha.

MUACHE AENDE !

• Kujaribu kumlazimisha mtu akupende ni sawa na kujaribu kumlazimisha Nguruwe kutambua usafi na uzuri. Usimlazimishe akupende, mwache mwenyewe akupende, kama hakupendi...

MWACHE AENDE !

• Wewe ni wa thamani mno kulilia penzi. Mtu ambae anakupenda kweli atakuheshimu na hataku 'treat' kama uchafu. Kama atakuchukulia wewe kama uchafu...

MUACHE AENDE !

• Usipoteze muda wako wa thamani kujaribu kumshawishi au kuomba mapenzi. Mtu mwingine pembeni anakupenda wewe kwa dhati, ila wewe uko busy mno kumuogesha nguruwe! Kwanini?

MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi...

MUACHE AENDE !

• Mwanamke/mwanaume yeyote anaekuchukulia kirahisi siku zote atachukulia faida kwako, atakugeuza atakavyo kama chapati akijua hufurukuti, yeye sio Mungu wa kukufanya atakavyo...

MUACHE AENDE !

• Kuna watu hawatakupenda hata kama utajitoa kiasi gani kwao. Ni sawa tu. Kukukataa kwao haimaanishi kwamba una kitu kibaya, bali ni maana kwamba hawako kwa ajili yako. Usilazimishe duara kuwa pembe tatu...

MUACHE AENDE !

CHA KUJIFUNZA

• Hauwezi badilisha maoni mabaya ya watu juu yako, ila unaweza ukazuia maoni yao mabaya yasikubadilishe wewe kama wewe!

• Acha kichwa chako kiongoze moyo wako kukuondoa katika mahusiano sumu. Lengo la mahusiano sio kuleta mafadhaiko ila ni kuongeza furaha juu ya ile uliyokuwa nayo mwanzoni ulipokuwa haupo ktk mahusiano.

Jifunze kumuacha aende hata ni kama kwenye ndoa, vitabu vya dini vinaruhusu kabisa kuvunja ndoa kwa kesi ya Uzinzi.

NI NGUMU SANA ILA KWA MUSTAKABALI WA FURAHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE ME NAKWAMBIA MUACHE AENDE MPE NA NAULI KABISA!

Kama ipo ipo tu...!

Tupo pamoja??

Wallah nakurushia ela unywe walau bia mbili..umenigusaaaaa
 
nimewahi kugundua analiwa na mtu mwingine zaidi yangu nikasamehe..akabeba mimba yangu akatoa kisa anaogopa wazazi wakijua nikasamehe..anachati na simu mpaka sa saba mimi naenda kulala namuacha kwenye kochi..niliyavumilia yote kisa nampenda aliponiambia tuachane sikuweza kuvumilia niliumia sana..

sasa yapata miezi nane nishamsahau na maisha yanaenda


MUACHE AENDE
Kaka una moyo... sana.
 
Well you only need the light when it's burning low
Only miss the sun when it starts to snow
Only know you love her when you let her go

Only know you've been high when you're feeling low
Only hate the road when you're missing home
Only know you love her when you let her go
And you let her go
 
Back
Top Bottom