Jifunze kumuacha aende

Jifunze kumuacha aende

Sawa nimekuelewa mkuu nitafanyia kazi ushauri wako yote maisha tu kupata kukosa ni sawa tu
 
Kuachilia ni jambo gumu sana hasa ukiwa umempenda mtu: Lakini kama ukiliweza utakuwa na maisha mazuri sana, you have to perfect the art. Kuna kweli ambazo mwanadamu akizifahamu humuwezesha mtu kauchilia kirahisi.

1. Wanadamu ni wabinafsi sana, unaweza kuwapenda lakini wakakugeuka. (Human Beings are inherently selfish and absorbed)

2. Siyo kila mtu ameumbwa kwa ajili ya kukupenda wewe au ana wajibu wa kukupenda wewe kisa tu wewe umempenda. Hivyo usipopendwa usichukie kabisa, maisha ndivyo yalivyo.

3. Mapenzi (Erotic Love) ni sehemu ndogo sana katika maisha ya binadamu japo ina umuhimu wake. Ukiokosa leo huwezi kufa, utaishi tu.

4. Duniani hapa huwezi kabisa kukosa mtu wa kukupenda wewe. Wanazaliwa kila siku na wanakufa kila siku: Unahitaji kutuliza kichwa na moyo wako.....
 
Kuachilia ni jambo gumu sana hasa ukiwa umempenda mtu: Lakini kama ukiliweza utakuwa na maisha mazuri sana, you have to perfect the art. Kuna kweli ambazo mwanadamu akizifahamu humuwezesha mtu kauchilia kirahisi.

1. Wanadamu ni wabinafsi sana, unaweza kuwapenda lakini wakakugeuka. (Human Beings are inherently selfish and absorbed)

2. Siyo kila mtu ameumbwa kwa ajili ya kukupenda wewe au ana wajibu wa kukupenda wewe kisa tu wewe umempenda. Hivyo usipopendwa usichukie kabisa, maisha ndivyo yalivyo.

3. Mapenzi (Erotic Love) ni sehemu ndogo sana katika maisha ya binadamu japo ina umuhimu wake. Ukiokosa leo huwezi kufa, utaishi tu.

4. Duniani hapa huwezi kabisa kukosa mtu wa kukupenda wewe. Wanazaliwa kila siku na wanakufa kila siku: Unahitaji kutuliza kichwa na moyo wako.....
Ni kweli kabisa mkuu ila hapo kwenye namba mbili inakuwaje mtu yeye ndio alikufuata, akakushawishi umpende mwisho wa siku inakuwa kama wewe tena ndio unamlazimisha, people are so selfish
 
Ni kweli kabisa mkuu ila hapo kwenye namba mbili inakuwaje mtu yeye ndio alikufuata, akakushawishi umpende mwisho wa siku inakuwa kama wewe tena ndio unamlazimisha, people are so selfish
People can be selfish and self absorbed.
 
Msimamo mkali sana huo ujue Shadeeya
Kweli kabisa Ses. Kama hicho kidot cha tano hapo. Nimekicopy hapo chini.

"MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi..."


Kama huyo hapo sasa kuna haja gani ya kumpokea anaporudi. 🙈🙈 Ikitokea anapokelewa basi ujue hayo maigizo hatokaa akayaacha.

Akaaaa. Nakazia aende tu.
 
Kweli kabisa Ses. Kama hicho kidot cha tano hapo. Nimekicopy hapo chini.

"MUACHE AENDE !

• Usikasirike pale mtu wako anapompenda mwingine tofauti na wewe. Siku zote hua ni vigumu kumshawishi NYANI kwamba Asali ni tamu kuliko ndizi..."


Kama huyo hapo sasa kuna haja gani ya kumpokea anaporudi. [emoji85][emoji85] Ikitokea anapokelewa basi ujue hayo maigizo hatokaa akayaacha.

Akaaaa. Nakazia aende tu.
Akirudi unapasha kwanza kiporo ndio unapiga chini

Çc Sesten Zakazaka
 
Back
Top Bottom