Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.

yna2 leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu tu ila yanatafanya ndevu na mn'garo,kuondoa mfungamano,na kuondoa m'ba.

MAHITAJI

beeswax (sega la nyuki) 1tbsp

-kazi yake ni kufanya mafuta yetu yagande na vilevile inasaidia kufanya nywele in'gae.

Shearbutter 1tbsp
-inauwezo wa kujaza nywele na kuipa ulaini na mn'gao.

Coconut oil 2tbsp
-kazi yake kujaza nywele na kuondoa ukavu kwenye ngozi na kuifanya nywele in'gae (nakushauri tumia mafuta ya Nazi yasiyopikwa)

Sweetalmond oil 2tbsp
-kazi yake kuzuia nywele isikatike,kuipa nywele mn'gao,na kuijaza.

Lavender essential oil 10drops
-kazi yake kuondoa matatizo ya ngozi Kama m'ba..fangasi kwenye ngozi..kuzuia nywele kukatika na kujaza nywele.

Rosemary essential oil 5drops
-kazi yake ni kuifanya nywele kua nzito..ndefu.. kupunguza wingi wa mafuta..kuipa nywele ulaini na mn'gao.

JINSI YA KUTENGENEZA

weka sufuria jikoni ..weka maji yachemke ..chukua sufuria nyingine au bakuli la udongo weka beeswax na shearbutter..chukua bakuli lako/sufuria weka juu ya sufuria lenye maji huku ukikoroga taratibu hadi iyeyuke.

Kwanini tunayeyusha butter na beeswax juu ya sufuria nyingine badala ya kuiweka sufuria moja kwa moja kwenye Moto? Tunafanya hivi sababu ya kuepuka kuua vitamini zilizomo kwenye butter na beeswax.

Butter na beeswax vikiwa vimeyeyuka weka mafuta yaliyosalia isipokua essential oils..koroga Kisha ipua.

Acha yapoe kidogo weka essential oils..koroga vizuri Kisha weka kwenye vikopo tayari kwa kuuza/kutumia.

Nb: ukikosa Sweet Almond oil tumia castor oil sio yale ya rangi nyeusi.

Ahsanteni.

Moderators naomba msiuamishe huu uzi tafadhali.

Mchana mwema.

View attachment 1250851View attachment 1250853View attachment 1250854
nikitaka unitengenezee inawezekana?
 
mkuu Nyani Ngabu naomba unielekeze sehemu naweza pata hyo package na bei yake.
Hizo hapo ni baadhi ya bidhaa za matunzo ya ndevu. Binafsi hizo ndo ninazozitumia kwa sasa.

Hapo beard wash za aina mbili. Hizi ni shampoo ambazo ni mahsusi kwa ndevu.

Pia ndevu zaweza kupakwa mafuta. Kwenye picha utaona Cantu Shea Butter beard oil. Ni mafuta bomba sana kwa ndevu.

Muhimu vilevile ni ndevu kuzitunza mara kwa mara kwa sababu ni nywele ziotazo haraka sana [kama unazo nyingi].

Kwenye picha utaona wembe utumikao kuzichonga ndevu ili ziwe na muonekano maridadi.

Ndevu pia huchanwa. Hapo utaona kuna brush ya kuchania ndevu.

Hakika ndevu zikitunzwa, huwa zinaonekana vizuri mno.

View attachment 1251561

Sent using SMART KITOCHI
 
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.

yna2 leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu tu ila yanatafanya ndevu na mn'garo,kuondoa mfungamano,na kuondoa m'ba.

MAHITAJI

beeswax (sega la nyuki) 1tbsp

- Kazi yake ni kufanya mafuta yetu yagande na vilevile inasaidia kufanya nywele in'gae.

Shearbutter 1tbsp
- Inauwezo wa kujaza nywele na kuipa ulaini na mn'gao.

Coconut oil 2tbsp
- Kazi yake kujaza nywele na kuondoa ukavu kwenye ngozi na kuifanya nywele in'gae (nakushauri tumia mafuta ya Nazi yasiyopikwa)

Sweetalmond oil 2tbsp
- Kazi yake kuzuia nywele isikatike,kuipa nywele mn'gao,na kuijaza.

Lavender essential oil 10drops
- Kazi yake kuondoa matatizo ya ngozi Kama m'ba..fangasi kwenye ngozi..kuzuia nywele kukatika na kujaza nywele.

Rosemary essential oil 5drops
- Kazi yake ni kuifanya nywele kua nzito..ndefu.. kupunguza wingi wa mafuta..kuipa nywele ulaini na mn'gao.

JINSI YA KUTENGENEZA

Weka sufuria jikoni ..weka maji yachemke ..chukua sufuria nyingine au bakuli la udongo weka beeswax na shearbutter..chukua bakuli lako/sufuria weka juu ya sufuria lenye maji huku ukikoroga taratibu hadi iyeyuke.

Kwanini tunayeyusha butter na beeswax juu ya sufuria nyingine badala ya kuiweka sufuria moja kwa moja kwenye Moto? Tunafanya hivi sababu ya kuepuka kuua vitamini zilizomo kwenye butter na beeswax.

Butter na beeswax vikiwa vimeyeyuka weka mafuta yaliyosalia isipokua essential oils..koroga Kisha ipua.

Acha yapoe kidogo weka essential oils..koroga vizuri Kisha weka kwenye vikopo tayari kwa kuuza/kutumia.

Nb: ukikosa Sweet Almond oil tumia castor oil sio yale ya rangi nyeusi.

Ahsanteni.

Mchana mwema.
View attachment 1481115
View attachment 1481116

View attachment 1481117
A
 
ASANTE, MIMI NINASUBIRI MAFUTA YA KUTUNZA HUKU CHINI YA MKANDA.KUNASUMBUA SANA
 
Hizo hapo ni baadhi ya bidhaa za matunzo ya ndevu. Binafsi hizo ndo ninazozitumia kwa sasa.

Hapo beard wash za aina mbili. Hizi ni shampoo ambazo ni mahsusi kwa ndevu.

Pia ndevu zaweza kupakwa mafuta. Kwenye picha utaona Cantu Shea Butter beard oil. Ni mafuta bomba sana kwa ndevu.

Muhimu vilevile ni ndevu kuzitunza mara kwa mara kwa sababu ni nywele ziotazo haraka sana [kama unazo nyingi].

Kwenye picha utaona wembe utumikao kuzichonga ndevu ili ziwe na muonekano maridadi.

Ndevu pia huchanwa. Hapo utaona kuna brush ya kuchania ndevu.

Hakika ndevu zikitunzwa, huwa zinaonekana vizuri mno.

View attachment 1251561
Hii PACKAGE inapatikana wapi na bei gani
 
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.

yna2 leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu tu ila yanatafanya ndevu na mn'garo,kuondoa mfungamano,na kuondoa m'ba.

MAHITAJI

beeswax (sega la nyuki) 1tbsp

- Kazi yake ni kufanya mafuta yetu yagande na vilevile inasaidia kufanya nywele in'gae.

Shearbutter 1tbsp
- Inauwezo wa kujaza nywele na kuipa ulaini na mn'gao.

Coconut oil 2tbsp
- Kazi yake kujaza nywele na kuondoa ukavu kwenye ngozi na kuifanya nywele in'gae (nakushauri tumia mafuta ya Nazi yasiyopikwa)

Sweetalmond oil 2tbsp
- Kazi yake kuzuia nywele isikatike,kuipa nywele mn'gao,na kuijaza.

Lavender essential oil 10drops
- Kazi yake kuondoa matatizo ya ngozi Kama m'ba..fangasi kwenye ngozi..kuzuia nywele kukatika na kujaza nywele.

Rosemary essential oil 5drops
- Kazi yake ni kuifanya nywele kua nzito..ndefu.. kupunguza wingi wa mafuta..kuipa nywele ulaini na mn'gao.

JINSI YA KUTENGENEZA

Weka sufuria jikoni ..weka maji yachemke ..chukua sufuria nyingine au bakuli la udongo weka beeswax na shearbutter..chukua bakuli lako/sufuria weka juu ya sufuria lenye maji huku ukikoroga taratibu hadi iyeyuke.

Kwanini tunayeyusha butter na beeswax juu ya sufuria nyingine badala ya kuiweka sufuria moja kwa moja kwenye Moto? Tunafanya hivi sababu ya kuepuka kuua vitamini zilizomo kwenye butter na beeswax.

Butter na beeswax vikiwa vimeyeyuka weka mafuta yaliyosalia isipokua essential oils..koroga Kisha ipua.

Acha yapoe kidogo weka essential oils..koroga vizuri Kisha weka kwenye vikopo tayari kwa kuuza/kutumia.

Nb: ukikosa Sweet Almond oil tumia castor oil sio yale ya rangi nyeusi.

Ahsanteni.

Mchana mwema.
View attachment 1481115
View attachment 1481116

View attachment 1481117
fanya uuze tu, maana hatujui kwa kupata most of malighafi zlizotumika..
 
Back
Top Bottom