Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

Jifunze kutengeneza mafuta ya kujaza ndevu

Dada nifundishe namna ya kutengeneza mafuta ya kusambaratisha hiki ' kipara '

Yani kweli KaU-handsome kangu kaishe hivi hvi, hapana kwa kweli.

Tafadhali sana dada, Nimekuwa muhanga wa kuvaa kofia wakati sikuzoea maisha haya.

Na jambo la ajabu zaidi, nikikaa karibu na watu huku sijavaa kofia, bas utaskia ' Oyah kipara ichoo ' kwakweli huwa najiskia vibaya sanaa

Yani 2015 nilikuwa na mzigo wa nywele, eti leo nimekuwa kinyonyoke.

Please please. Nifundishe hatua kwa hatua. Km utaweza nialike sehem kwa somo zaid.

Yani nitakushukuru milelw na milelee..
Sina mpendwa
 
Dada nifundishe namna ya kutengeneza mafuta ya kusambaratisha hiki ' kipara '

Yani kweli KaU-handsome kangu kaishe hivi hvi, hapana kwa kweli.

Tafadhali sana dada, Nimekuwa muhanga wa kuvaa kofia wakati sikuzoea maisha haya.

Na jambo la ajabu zaidi, nikikaa karibu na watu huku sijavaa kofia, bas utaskia ' Oyah kipara ichoo ' kwakweli huwa najiskia vibaya sanaa

Yani 2015 nilikuwa na mzigo wa nywele, eti leo nimekuwa kinyonyoke.

Please please. Nifundishe hatua kwa hatua. Km utaweza nialike sehem kwa somo zaid.

Yani nitakushukuru milelw na milelee..
[emoji23][emoji23]
 
Dada nifundishe namna ya kutengeneza mafuta ya kusambaratisha hiki ' kipara '

Yani kweli KaU-handsome kangu kaishe hivi hvi, hapana kwa kweli.

Tafadhali sana dada, Nimekuwa muhanga wa kuvaa kofia wakati sikuzoea maisha haya.

Na jambo la ajabu zaidi, nikikaa karibu na watu huku sijavaa kofia, bas utaskia ' Oyah kipara ichoo ' kwakweli huwa najiskia vibaya sanaa

Yani 2015 nilikuwa na mzigo wa nywele, eti leo nimekuwa kinyonyoke.

Please please. Nifundishe hatua kwa hatua. Km utaweza nialike sehem kwa somo zaid.

Yani nitakushukuru milelw na milelee..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] polee mr kipara
 
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.

yna2 Leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu tu ila yanatafanya ndevu na mn'garo,kuondoa mfungamano,na kuondoa m'ba.

MAHITAJI

Beeswax (sega la nyuki) 1tbsp

- Kazi yake ni kufanya mafuta yetu yagande na vilevile inasaidia kufanya nywele in'gae.

Shearbutter 1tbsp
- Inauwezo wa kujaza nywele na kuipa ulaini na mn'gao.

Coconut oil 2tbsp
- Kazi yake kujaza nywele na kuondoa ukavu kwenye ngozi na kuifanya nywele in'gae (nakushauri tumia mafuta ya Nazi yasiyopikwa)

Sweetalmond oil 2tbsp
- Kazi yake kuzuia nywele isikatike,kuipa nywele mn'gao,na kuijaza.

Lavender essential oil 10drops
- Kazi yake kuondoa matatizo ya ngozi Kama m'ba..fangasi kwenye ngozi..kuzuia nywele kukatika na kujaza nywele.

Rosemary essential oil 5drops
- Kazi yake ni kuifanya nywele kua nzito..ndefu.. kupunguza wingi wa mafuta..kuipa nywele ulaini na mn'gao.

JINSI YA KUTENGENEZA

Weka sufuria jikoni ..weka maji yachemke ..chukua sufuria nyingine au bakuli la udongo weka beeswax na shearbutter..chukua bakuli lako/sufuria weka juu ya sufuria lenye maji huku ukikoroga taratibu hadi iyeyuke.

Kwanini tunayeyusha butter na beeswax juu ya sufuria nyingine badala ya kuiweka sufuria moja kwa moja kwenye Moto? Tunafanya hivi sababu ya kuepuka kuua vitamini zilizomo kwenye butter na beeswax.

Butter na beeswax vikiwa vimeyeyuka weka mafuta yaliyosalia isipokua essential oils..koroga Kisha ipua.

Acha yapoe kidogo weka essential oils..koroga vizuri Kisha weka kwenye vikopo tayari kwa kuuza/kutumia.

Nb: ukikosa Sweet Almond oil tumia castor oil sio yale ya rangi nyeusi.

Ahsanteni.

Mchana mwema.
View attachment 1481115
View attachment 1481116sa

View attachment 1481117

Michango ya wadau


----

-----[as eySs/QUOTE]
T 2÷
D1√€
 
Habari zenu wapendwa? Naamini wote mko poa.

yna2 Leo nimeamua kuwaletea somo la namna ya kutengeneza mafuta ya kujaza ndefu kwa wanaume (natural beard balm).Mafuta haya siyo kwamba yatajaza ndevu tu ila yanatafanya ndevu na mn'garo,kuondoa mfungamano,na kuondoa m'ba.

MAHITAJI

Beeswax (sega la nyuki) 1tbsp

- Kazi yake ni kufanya mafuta yetu yagande na vilevile inasaidia kufanya nywele in'gae.

Shearbutter 1tbsp
- Inauwezo wa kujaza nywele na kuipa ulaini na mn'gao.

Coconut oil 2tbsp
- Kazi yake kujaza nywele na kuondoa ukavu kwenye ngozi na kuifanya nywele in'gae (nakushauri tumia mafuta ya Nazi yasiyopikwa)

Sweetalmond oil 2tbsp
- Kazi yake kuzuia nywele isikatike,kuipa nywele mn'gao,na kuijaza.

Lavender essential oil 10drops
- Kazi yake kuondoa matatizo ya ngozi Kama m'ba..fangasi kwenye ngozi..kuzuia nywele kukatika na kujaza nywele.

Rosemary essential oil 5drops
- Kazi yake ni kuifanya nywele kua nzito..ndefu.. kupunguza wingi wa mafuta..kuipa nywele ulaini na mn'gao.

JINSI YA KUTENGENEZA

Weka sufuria jikoni ..weka maji yachemke ..chukua sufuria nyingine au bakuli la udongo weka beeswax na shearbutter..chukua bakuli lako/sufuria weka juu ya sufuria lenye maji huku ukikoroga taratibu hadi iyeyuke.

Kwanini tunayeyusha butter na beeswax juu ya sufuria nyingine badala ya kuiweka sufuria moja kwa moja kwenye Moto? Tunafanya hivi sababu ya kuepuka kuua vitamini zilizomo kwenye butter na beeswax.

Butter na beeswax vikiwa vimeyeyuka weka mafuta yaliyosalia isipokua essential oils..koroga Kisha ipua.

Acha yapoe kidogo weka essential oils..koroga vizuri Kisha weka kwenye vikopo tayari kwa kuuza/kutumia.

Nb: ukikosa Sweet Almond oil tumia castor oil sio yale ya rangi nyeusi.

Ahsanteni.

Mchana mwema.
View attachment 1481115
View attachment 1481116

View attachment 1481117

Michango ya wadau


----

-----
Za we WzxzzSwwarz as at Yw
IMG-20210104-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom