KalaghabaoNaheshimu mawazo yako lakini acha nikubaliane na hoja za Mleta mada.
Kwanza nani aliyewahikwenda kwenye hizo sayari akaja na ushahidi ziko wapi? yani arekodi videos, sauti na hata picha kuleta huo ushahidi la sivyo kama ni zile habari zilizomo kwenye encyclopedia bado ni hadithi tu za Abunuwasi.
Lakini pia kwanini wewe tu ndiwe uwe sahihi badala ya Mleta mada kiujumbe, je kama ni kinyume chake?
Kuna sehemu yeyote nimequote verse ya Quran kwenye Uzi wangu ebu nionyesheMtoa mada, Siku utakayo jua ukweli kwamba Adam na Hawa wa kwenye Bible na Qur'an sio ancestors wako ndio siku ambayo utaweza kujua nafasi yako halisi katika ulimwengu unaoishi but as long as ur mind is still buried in the darkness of ignorance u will neva know what is actually going on in this life.
Labda kukutoa tu tongo tongo. Adam na Hawa wa kwenye Bible na Qur'aan sio ancestors wako. They have nothing to do with you.
The truth is God created a hundred of thousands of "Adam and Eve'
Some of them were planted as seeds in this planet and others were planted in other exo- planets( habitable planets ) in other galaxies.
(These are the ones whom you refers to them as Alliens.)
Dunia kama ilivyo kwa mabilioni ya exo-planets in other galaxies in our galaxy, ni shamba la Mungu ( Dunia ni shamba/bustani ya Mungu)
Baada ya KUTENGENEZA bustani yake, Mwenyezi Mungu aliamua KUTENGENEZA /kuumba kiumbe ambae atabeba jukumu la kuitazama hiyo bustani ( Garden keeper) mpaka utakapo fika muda wa kuvuna hicho kitu ambacho Mungu amekipanda kwenye hii sayari tunayo ishi mimi na wewe. ( Ni kitu gani hicho? This will be a topic for another day )
KUHUSU SHETANI: SHETANI hana nguvu hizo kama mnavyo danganyana wakristo na waislamu..
Satan is the most weakest creature of all the creatures that were created by Sir God.
Hicho ndicho kinacho mfanya aonekane kuwa kiumbe hatari kuliko viumbe wote walio umbwa na Mungu..
Tunachukua tahadhari dhidi ya SHETANI sio kwa sababu ni kiumbe mwenye nguvu sana la hasha ila kwa sababu ni kiumbe dhaifu sana.
Udhaifu wake ndio una mfanya awe kiumbe hatari.
Katika ulimwengu wa roho power is measured in terms of love.
The most powerful is he who has un conditional love and the most weakest is he who has no love at all.
The devil and all evil spirits that operate under his authority do not have an ability to love not alone to love un conditional.
Christ is regarded as the most powerful in the realm of the spirit because of his unconditional love.( God created this universe out of his un conditional love to his creation. He loves us without needing us to do to him anything in return)
The spirit of Christ is nothing but the spirit of Un conditional love.
Bible inaposema hapo mwanzo kulikuwa na neno nae neno alikuwa kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visinge fanyika isipo kuwa huyu neno.
Huyo neno ambae ndio Kristo ndio hii kitu which am telling you is Un conditional love...
Huyu neno alikuja duniani in the person of the Greatest man to ever walk on the face of planet earth known as Jesus, ili kuja kutufundisha wanadamu kuyaishi maisha ya kuwa na un conditional love pamoja na faida ambazo tutazipata endapo tutaishi katika hiyo spirit nazo ni kuwa na nguvu dhidi ya viumbe wote walio umbwa na Mwenyezi Mungu kama ilivyo kusudiwa na Mungu mwenyewe katika uumbaji..
Hizo habari unazo sema kuhusu SHETANI kuwa na uwezo wa kufanya hiki mara kile ni bla bla na utoto na ni mbinu ya wachungaji kuwatisha waumini..
Infact Maneno kama hayo unayo yasema yanamtukuza zaidi SHETANI kuliko Mungu.
So please re-learn what you know about the spiritual world and repgrogamme ur mind.
Or else, there is no hope in ur future
ByeKuna sehemu yeyote nimequote verse ya Quran kwenye Uzi wangu ebu nionyeshe
Mkuu hii ideology umeipata wapi, au Jehovah witnessMtoa mada, Siku utakayo jua ukweli kwamba Adam na Hawa wa kwenye Bible na Qur'an sio ancestors wako ndio siku ambayo utaweza kujua nafasi yako halisi katika ulimwengu unaoishi but as long as ur mind is still buried in the darkness of ignorance u will neva know what is actually going on in this life.
Labda kukutoa tu tongo tongo. Adam na Hawa wa kwenye Bible na Qur'aan sio ancestors wako. They have nothing to do with you.
The truth is God created a hundred of thousands of "Adam and Eve'
Some of them were planted as seeds in this planet and others were planted in other exo- planets( habitable planets ) in other galaxies.
(These are the ones whom you refers to them as Alliens.)
Dunia kama ilivyo kwa mabilioni ya exo-planets in other galaxies in our galaxy, ni shamba la Mungu ( Dunia ni shamba/bustani ya Mungu)
Baada ya KUTENGENEZA bustani yake, Mwenyezi Mungu aliamua KUTENGENEZA /kuumba kiumbe ambae atabeba jukumu la kuitazama hiyo bustani ( Garden keeper) mpaka utakapo fika muda wa kuvuna hicho kitu ambacho Mungu amekipanda kwenye hii sayari tunayo ishi mimi na wewe. ( Ni kitu gani hicho? This will be a topic for another day )
KUHUSU SHETANI: SHETANI hana nguvu hizo kama mnavyo danganyana wakristo na waislamu..
Satan is the most weakest creature of all the creatures that were created by Sir God.
Hicho ndicho kinacho mfanya aonekane kuwa kiumbe hatari kuliko viumbe wote walio umbwa na Mungu..
Tunachukua tahadhari dhidi ya SHETANI sio kwa sababu ni kiumbe mwenye nguvu sana la hasha ila kwa sababu ni kiumbe dhaifu sana.
Udhaifu wake ndio una mfanya awe kiumbe hatari.
Katika ulimwengu wa roho power is measured in terms of love.
The most powerful is he who has un conditional love and the most weakest is he who has no love at all.
The devil and all evil spirits that operate under his authority do not have an ability to love not alone to love un conditional.
Christ is regarded as the most powerful in the realm of the spirit because of his unconditional love.( God created this universe out of his un conditional love to his creation. He loves us without needing us to do to him anything in return)
The spirit of Christ is nothing but the spirit of Un conditional love.
Bible inaposema hapo mwanzo kulikuwa na neno nae neno alikuwa kwa Mungu nae neno alikuwa Mungu vitu vyote visinge fanyika isipo kuwa huyu neno.
Huyo neno ambae ndio Kristo ndio hii kitu which am telling you is Un conditional love...
Huyu neno alikuja duniani in the person of the Greatest man to ever walk on the face of planet earth known as Jesus, ili kuja kutufundisha wanadamu kuyaishi maisha ya kuwa na un conditional love pamoja na faida ambazo tutazipata endapo tutaishi katika hiyo spirit nazo ni kuwa na nguvu dhidi ya viumbe wote walio umbwa na Mwenyezi Mungu kama ilivyo kusudiwa na Mungu mwenyewe katika uumbaji..
Hizo habari unazo sema kuhusu SHETANI kuwa na uwezo wa kufanya hiki mara kile ni bla bla na utoto na ni mbinu ya wachungaji kuwatisha waumini..
Infact Maneno kama hayo unayo yasema yanamtukuza zaidi SHETANI kuliko Mungu.
So please re-learn what you know about the spiritual world and repgrogamme ur mind.
Or else, there is no hope in ur future
π€£ππHaya mambo ni mazuri kwa wanaojua mambo ya ulimwengu wa roho na siri zake wachawi na waganga wanajua siri za ulimwengu wa roho ndo maana wanafanikiwa sn kutesa watu. Kzaz hiki cha kula tunda kimasihara ni empty kwny haya mambo.