Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate

Dah sijawahi kupita humu hata kwa bahati mbaya bila ya kuniita mamito gfsonwin mwaka ungeisha sipajui humu mwe...
 
Last edited by a moderator:
Halafu mniambie niwapikie nini cha mkesha wa mwaka msiniambie baga wa pizza sababu sitaki kupika hivyo vitu mi napika vyakula vya kitz tu
 
Halafu mniambie niwapikie nini cha mkesha wa mwaka msiniambie baga wa pizza sababu sitaki kupika hivyo vitu mi napika vyakula vya kitz tu

chagua wewe unataka utupikie nini.
mimi ningechagua wali mboga mboga.
 
wajua kupika au mwenzangu na mie???hahahaha
Halafu mniambie niwapikie nini cha mkesha wa mwaka msiniambie baga wa pizza sababu sitaki kupika hivyo vitu mi napika vyakula vya kitz tu
 
Siyo cjui, najua sema cna tym, isitoshe kwan machef kaz yao nn?
kumbe Ciello hujui kupika eee?
Usijali nitakusaidia kila siku ujifunze kupika
 
Last edited by a moderator:

Naam. Tunahitaji elimu kama hii. Ubarikiwe sana.
 

asante yaani umeeleweka sasa nitapataje hizo banking tins za mikate
 
Siyo cjui, najua sema cna tym, isitoshe kwan machef kaz yao nn?

huna tyme???mhh haya bana sie wenye time tutapika.
Halafu mie namfanyakazi ila hata siku 1 hapiki chakula labda jikoni tuwe wote anisaidie tu ila kupika nooo.
Labda hata kama mchana atapika cha peke yake ila eti kupika kusema huna mdaa mhhhh maisha ya kuigiza hayo.
Na mapishi kupika hata ujue kupika vipi ukiwa hupiki believe me lazima usahau ni kama verse za kwenye bible unatakiwa uzisome mara kwa mara ili usisahau
 
gfsonwin nitawapikia msijali kabisa
naona umemfurahisha mpaka mwanamalundi looo big up
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah amu bana, umeamua kunitolea uvivu eeh!!! huwa napika mara moja moja...ila recipes kibao sasa mtu utasahauje??? mie sina beki3 na wala sina mpango wa kuwa nao ktk maisha yangu..kwani uharibifu wao naujua!!!i do all my housework..kufua, kupika,usafi wa nyumba n.k...sema mara nyingi niko kwa road ndomana sipiki mara kwa mara ila nikiwepo na kama sijabanwa na ripoti basi napika.....ntakukaribisha homu nikupikie msosi mtamu hadi ugome kuondoka...hahahahah
 
Last edited by a moderator:

AshaDii wewe pekee ndo unanielewa. Hebu Mwambie Teacher gfsonwin mje naye basi. Njooni na huo mkate na chai ya hiriki na mdarasini. Hebu njoo kwanza my dear, are u ok?


Babu Asprin unalalamika Upendeleo na Ubaguzi kwani na wewe unataka?

You are inside the baloon. Come outside and see life. Njooni wote na utagundua maisha ni mazuri na matamu zaidi ya ulivyozoea. Masharti na vigezo kuzingatiwa.



Mkuu Superman unataka kunivunjia ndoa au niaje arifu? FYI wake zangu AshaDii na gfsonwin hawaendi kokote

CC: Asprin, BADILI TABIA, Yummy, cacico
 
Last edited by a moderator:
hahahah! mnamwonea Kaizer wivu siyo?? mwenzenu huwa anafaidi zaid ya haya. hivi unajua sasa hivi anaandaliwa x-mass cake mwenzenu.

hahahah@ Superman bana unajua kumtoa nyoka pangoni kweli yaaani unachonga mashairi mazuri ili tu tujitose kwako sio?? ila sie Kaizer anatupa kila tukitakacho jamani lol!

Bora uanza kuwaelezea mapemaaaa.......yaani wanaume wazima mnavizia wake za watu jikoni kwen mapishi? Pitieni barazani mnikute! haaaa
 
Last edited by a moderator:


Usijali sweetlo nimeleta beberu aliyehasiwa kabisa atakuwa mtamuje sasa......wataaanza na kisusio asubuhi kisha AshaDii atawaaandalia ilo biriani...wewe na mimi tutakuwa tunavuta dompo mdogo mdogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…