Jifunze namna Urusi alivyokwamisha "counteroffensive" ya Ukraine

Jifunze namna Urusi alivyokwamisha "counteroffensive" ya Ukraine

Hiyo ni lugha nyepesi ya kukuambia mtu kama wewe usielewa na wala huwezi kuelewa yaani vita inataka hela au uchumi imara. Putin anauza vitu vichache sana nje. Kabla ya vita dola 1 us ilikuwa sawa na r55 za urusi leo hii us1. = 92. Yaani watu wa kawaida wana hali mbaya. Ila ninavyohisi wewe hizi ni lugha ngumu kuelewa. Eti putin anaachia silaha kidogo kidogo. Hizo kinzal vip ni silaha ndogo. Ni moja wapo ya silaha anazotegemea putin na alisema hakuna nchi inayoweza kutengeneza.
Sisi wote tuko buza hapa bongo.
Huyo hitler alikuwa na uchumi imara vipi weww mbona unachekesha
Nahiyo niliyozungumza hapo nilugha nyepesi mno, Qatar nabaadhi ya nchi zakiarabu zinahela uchumi wao uko vzur nahela yao inathamani Zaid yadola Ila uwezo wao wakivita ukoje??
Biashara ya majeans haiwezi kukupa uzoefu wowote kivita nimambo tofauti kabisa, Vita niutaalam wambinu namipango, uzoefu geographical location,
Uchumi wa dunia umeterereka sio kwabiashara ya bodaboda namajeans kuyumba sababu ya garama zanishati kuwakubwa sababu mwenye Vita Russia anaamua anavyotaka kuhusu nishati yake anayoisupply Europe.


Mbinu nyingi nakali zakivita zinapatikana via uzoefu nasio kuuza majeans nabodaboda nakati yahao wote hakuna aliemzid uzoefu russia
 
Wanasema miezi miwili imepita na haijawezekana kupasua ngome .Wanalalamika kuwa Urusi ilipewa muda mwingi sana kujitayarisha kwa ajili ya mapigo hayo ya Ukraine na kwamba hilo liliipa Urusi nafasi ya kupanga pigo la kila aina ya kifaru kilichotangazwa kuwa kingetumwa kwenye uwanja wa vita,
 
Kwa ufupi Urusi ina uzoefu wa kupigana vita virefu na hatimae kushinda kuliko mataifa kama Marekani na nchi za Ulaya.
Kwa uzoefu huo hata aina za silaha wanazotumia huwa wanazitoa hatua kwa hatua kulingana na muda.
Mfano kwa sasa wakati Marekani imekubali kuipa Ukraine mabomu ya cluster.Putin kasema wanayo mengi sana Ukraine wakianza basi wao watamaliza.
Sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom