Jifunze namna Urusi alivyokwamisha "counteroffensive" ya Ukraine

Desperate.
 
Nahiyo niliyozungumza hapo nilugha nyepesi mno, Qatar nabaadhi ya nchi zakiarabu zinahela uchumi wao uko vzur nahela yao inathamani Zaid yadola Ila uwezo wao wakivita ukoje??
Biashara ya majeans haiwezi kukupa uzoefu wowote kivita nimambo tofauti kabisa, Vita niutaalam wambinu namipango, uzoefu geographical location,
Uchumi wa dunia umeterereka sio kwabiashara ya bodaboda namajeans kuyumba sababu ya garama zanishati kuwakubwa sababu mwenye Vita Russia anaamua anavyotaka kuhusu nishati yake anayoisupply Europe.


Mbinu nyingi nakali zakivita zinapatikana via uzoefu nasio kuuza majeans nabodaboda nakati yahao wote hakuna aliemzid uzoefu russia
 
Wanasema miezi miwili imepita na haijawezekana kupasua ngome .Wanalalamika kuwa Urusi ilipewa muda mwingi sana kujitayarisha kwa ajili ya mapigo hayo ya Ukraine na kwamba hilo liliipa Urusi nafasi ya kupanga pigo la kila aina ya kifaru kilichotangazwa kuwa kingetumwa kwenye uwanja wa vita,
 
Sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…