Mengi Ayoub
Member
- Apr 20, 2022
- 56
- 46
Habari wakuu... Kwanza kabisa inatakiwa tuelewe kuwa kuna tofauti Kati ya kutengeneza pesa na kutafuta pesa. Mimi na wewe tunajua namna ya kutafuta pesa lakini watu matajiri wanajua namna ya kutengeneza pesa.
Tofauti ya kutengeneza pesa na kutafuta pesa ni kuwa pesa haitaki kuonwa wala kukamatwa, kwahiyo pesa siku zote hujificha. Na ili uweze kufanikiwa kuikamata ni lazima ujifunze kuitega hiyo pesa kwa kutumia vifaa vinavyoitwa "vitega uchumi"
Watu matajiri wao wanatumia mitege ili kuikamata pesa yaani hata wasipofanya kazi pesa inaendelea kuingia. Lakini watu maskini wanategemea akili zao walizofundishwa darasa I...
Ili kufanikiwa inabidi tuwe na vitega uchumi.
Tofauti ya kutengeneza pesa na kutafuta pesa ni kuwa pesa haitaki kuonwa wala kukamatwa, kwahiyo pesa siku zote hujificha. Na ili uweze kufanikiwa kuikamata ni lazima ujifunze kuitega hiyo pesa kwa kutumia vifaa vinavyoitwa "vitega uchumi"
Watu matajiri wao wanatumia mitege ili kuikamata pesa yaani hata wasipofanya kazi pesa inaendelea kuingia. Lakini watu maskini wanategemea akili zao walizofundishwa darasa I...
Ili kufanikiwa inabidi tuwe na vitega uchumi.