Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
- Thread starter
- #41
Vitu vizuri, nlipata maumivu ya viungo nikapumzika zoezi kwa miezi kadhaa, sasa nipo vizuri nataka nianze tena
Kutaneni mfanye zoezi pamoja wadau.Mkuu mm niliteguka misuli ya mkono wa kushoto, sasa baada ya kupata matibabu na maumivu kuisha nataka nianze upya