Jifunze TENSES hapa


Mkuu kabla hujajikita kwenye michanganyo ya namna hiyo, kitu cha kwanza muhimu ni kujua basics za tenses.

Kwa sababu kama hujajua hizo basics hiyo mifano yako itakutoa kabisa kwenye reli.

In fact Future Tenses ni kizungumkuti kwa learners, so si mbaya tukajua zile basics.

Maana uzuri wa sentence zote hizo zinaweza kuandikwa in a simple sentences na zikabeba ujumbe ule ule na ukawa grammatically okay.
 
Mtenda au mtendewa yote sawa
My mother bought me a book (mtendewa)
My mother beat me (mtendwa)


Hapana ndugu, mtenda
Hata darasani watu kama wewe walikuwepo, ila ni ushamba fulani hivi

Mimi si mshamba kwa muktadha huu ndugu. Humu mtandaoni kuna kila binadamu. Hivyo, unaona nimecheka hivyo nikijua huyo mtu anatania. Nami nikacheka kiutani vilevile. Uzuri humu pia hakunizuii kuonyesha hisia zangu.

Kumbuka mtu aliomba msaada, hivyo anaemsaidia nilitegemea pengine awe anaefahamu. Pata picha huyo mtu anachukua kama ilivyo. Na huyo aliyemjibu hakutoa tahadhari zozote.
Hivyo, nilitafsiri kuwa anaejibu anafurahisha. Ukitazama si huyo tu, fuatilia post kadhaa hapa ni za masihara.

Sema bongolala kama wewe umekaa kichukichuki, chochote unaona umedhihakiwa. Watu wameandika utani kibao hapa, hakuna aliyeshambulia. Na ninaamini wapo wanaojua lakini wanajua mambo ya mtandao wanapotezea.

Wewe ni tundu la choo, msaada wako ni kupokea tu kinyesi.
 
Ahsante kwa kunitukana ila naomba unifafanulie kitu hapo kwenye mtenda. Kwenye hizo sentensi mbili nilizoandika yupi ni mtenda?
 


Watanzania wengi tumefundishwa kwa staili hii, kukaririshwa kanuni. Ndiyo maana unaona hata hapa mimi na baadhi tunajidai kuandika kuhusu English kwa Kiswahili.Tuambie tuandike haya kwa Kiingereza uone. Hivyo, katika ufundishaji wa lugha, staili hii ya kumpa mwanafunzi kanuni kwa staili hii haishauriwi. Kanuni ziendane na maisha halisi lugha inapozungumzwa. Ndiyo maana ukienda sehemu wanapofuata kanuni, utakuta vitabu vinamuongoza mwalimu na mwanafunzi kwa kusikiliza, kusoma, kuandika na kuongea. Sisi tunapewa tu hizi kanuni, hatupewi mazingira sahihi ya kutumia. Kibaya zaidi hatuna pa kufanyia mazoezi.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] mwalimu kaenda kuchukua mshahara tumebaki wanafunzi tunadiskasi

Ticha aliweka tangazo ili twende twisheni, nimefanya follow-up ya link aliyoweka nikaona ni ukaribisho wa kwenda kusoma kwake.
 
Mimi hizi would, should na could huwa zinanichanganya kwa kweli. Hebu toeni mfano anuai hapo wadau. Ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…