Jifunze TENSES hapa

Ahsante kwa kunitukana ila naomba unifafanulie kitu hapo kwenye mtenda. Kwenye hizo sentensi mbili nilizoandika yupi ni mtenda?


Mimi nina tabia zote, ushenzi na uungwana. Ukinijia kiungwana nakuwa muungwana na ukinijia kishenzi nakuwa mshenzi vilevile. Hapa unaona nimekutukana , mimi umenifanya nini? Nakiri nimekutukana, je, wewe lugha uliyotumia kwangu je? Jifunze kuwa mtu wa kutoa na kupokea, usiwe mchoyo mkuu.

Sasa turudi kwenye somo,

Mtendwa ni yule anaeathirika na jambo, au jambo linamgusa moja kwa moja kadiri kitenzi kinavyoeleza na mtendewa ni yule jambo limefanywa kwa niaba yake.

Mfano

Muungwana killed Mtiifu. (Hapa Mtiifu ametendwa, hivyo ni mtendwa wa jambo), wakati Muungwana ni mtenda wa jambo

My brother bought me a car ( hapa me(mimi) ni mtendewa na gari ni kitendwa)
vyote, me na car vinaguswa na kitenzi bought, lakini car inaguswa moja kwa moja kwa mtu kuinunua, na me yeye gari linanunuliw akwa niaba yake.

Hivyo, mtu akikuonjea. Maana yake wewe upo zako mahali kisha mtu mwingine ametenda kitendo cha kuonja badala yako.

Tazama mifano zaidi

Orodha ya kushoto ni kauli ya kutendwa na hiyo kulia ni kauli ya kutendewa


Amepigwa.......................Amepigiwa
Amenyongwa.................Amenyongewa
Ametombwa...................Ametombewa (kuwa makini hapa, neno hili ni mwiko)
 
Nadhani tuendeleeni wenyewe haya tunayamudu tukishirikiana...Nami nitatoa mchango wangu kadri niwezavyo,Nitakuja siku kuichambua tense mojawapo..Khantwe,Don tusiishie hapa..

Tukimaliza tenses tuje suala zima la grammar au chochote tutachokubaliana...Nami nime Subscribe uzi tayari...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hatuna future tense, kawaida huwa hatuna nyakati zijazo tuna wakati uliopo na uliopita, hivyo tuna future time ambayo time aspects ambazo perfect, present, progressive/continues.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya yote uliniambia ninayajua. Don kauliza object ni mtendewa au mtendwa? Nikamjibu yote ni sawa kisha nikampa mifano ya objective pronoun 'me' inayoonyesha mtendwa na inayoonyesha mtendewa wewe ukasema ni mtenda ndio nikakuuliza kivipi? Kwenye hiyo sentensi mtenda ni nani?
 
Karibu sana mkuu
 
Mkuu hatuna future tense, kawaida huwa hatuna nyakati zijazo tuna wakati uliopo na uliopita, hivyo tuna future time ambayo time aspects ambazo perfect, present, progressive/continues.

Sent using Jamii Forums mobile app
Primary tulifundishwa hivi kwamba tuna past, present na future. Hii ya tense mbili tumefundishwa Advanced level au hata primary mtaala umebadilika siku hizi?
 

Yes, hapa kitu kizuri kila mtu aje na topic yoyote, mfano kuna topic ya articles kaitaja Mr Miller, kuna hizi active and passive sentences nk.
 
Lakini kama mnataka tubadilike, basi tubadilisheni lugha. Ni vigumu sana kubadilika kwa kuisoma lugha kwa kuizungumzia badala ya kuizungumza. Ni vema tukaandika haya kwa English, itatusaidia kuondoa uoga na kuweka vitu kichwani zaidi. Hili si suala la hisia, ni la kitafiti kabisa. Watanzania wengi tupo hivi katika Kiingereza sababu hii, hatukifanyi kwa vitendo.

Tuondoe ule uoga wa kuchekwa, chukulia kuchekwa kuwa chachandu ya wewe kujifunza. Mwambie anaekucheka akufundishe alichokucheka. Kibaya zaidi ni kwamba, unakuta mimi ninakucheka wewe, lakini na mimi nimechoka. Hii ni kitu mbaya sana!
 
Halafu kuna ile thread inaenda kwa jina la 'English learning thread' hivi bado ipo?
 

Ndugu, pale ulisema vyote, mtendwa na mtendewa ni sawa. Hiki ndicho nilichopinga, ndiyo maana wanasarufi wakaja na hoja ya direct object na indirect object. Katika sentensi

Y bought K a car.

Huyo atakaepokea gari, K ni mtendewa(indirect object) na gari ni kitendwa(direct object). Huu ndiyo utofauti nilitaka kuubainisha. Aidha, Y atabaki kuwa mtenda wa jambo, ameitenda gari(yani kainunua) na amemtendea K jambo (yani kamnunulia gari K)
 
[emoji16][emoji16][emoji16] wenzetu walioendelea mbele huenda walibakiwa na moja

Haiwezekani, ila hata primary Future Tense ilikuwa inaingiliana sana na Present Tense, twists chache sana zilikuwa zinafanyika kubadili, hasa ile ya kutaja muda.

Mfano: I am going to school next week.
Ukiondoa next week tayari ni present continuous tense.
 
Wewe mtu, hivi unasoma nilichokiandika? Nijibu hili swali kwanza....pale kwenye sentence mbili nilizoandika yuko wapi mtenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…