La pili, sijasema mtenda na mtendwa ni kitu kimoja ila nimesema inaweza kuwa vyovyote, mtendwa au mtendewa na ndio lilikuwa swali la niliyekuwa namjibu naona unaleta maelezo mareefuNdugu, pale ulisema vyote, mtendwa na mtendewa ni sawa. Hiki ndicho nilichopinga, ndiyo maana wanasarufi wakaja na hoja ya direct object na indirect object. Katika sentensi
Y bought K a car.
Huyo atakaepokea gari, K ni mtendewa(indirect object) na gari ni kitendwa(direct object). Huu ndiyo utofauti nilitaka kuubainisha. Aidha, Y atabaki kuwa mtenda wa jambo, ameitenda gari(yani kainunua) na amemtendea K jambo (yani kamnunulia gari K)
La pili, sijasema mtenda na mtendwa ni kitu kimoja ila nimesema inaweza kuwa vyovyote, mtendwa au mtendewa na ndio lilikuwa swali la niliyekuwa namjibu naona unaleta maelezo mareefu
Ukiondoa next week inakuwa present continuousHaiwezekani, ila hata primary Future Tense ilikuwa inaingiliana sana na Present Tense, twists chache sana zilikuwa zinafanyika kubadili, hasa ile ya kutaja muda.
Mfano: I am going to school next week.
Ukiondoa next week tayari ni present perfect tense.
Yean ni kweli sema mimi tu sina maelezo mengi ila anachokisema ndio hicho hata mimi nimesemaUfafanuzi alioutoa hauna tofauti na ulichokiandika.
How much baby you are to be born....ukitaka kumuuliza mtu wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwenu hapo kwa english inakuaje?
Ukiondoa next week inakuwa present continuous
Kwa hiyo unataka tufanye nini? Tukamnyang'anye?Mmesikia Zitto kampa kadi Maalim Seif lakini.
La pili, sijasema mtenda na mtendwa ni kitu kimoja ila nimesema inaweza kuwa vyovyote, mtendwa au mtendewa na ndio lilikuwa swali la niliyekuwa namjibu naona unaleta maelezo mareefu
Prepositions.Hivi lile somo la of, at, in, by, ndiyo conjunctions au ni vitu gani hivi.
Kwa hiyo unataka tufanye nini? Tukamnyang'anye?
Sidhani kama tuko tofauti ila tunaongea kitu kimoja tatizo ni kwamba hatuelewani. Wewe haukunielewa niliposema mtendwa na mtendewa ni sawa ukanijibu bila kujua nilikuwa namaanisha nini. Mimi nilimaanisha ile 'me' inaweza kusimama vyovyote either kama mtendwa au mtendewa. Anyways sote tunajifunza sidhani kama kuna mwerevu wala mjinga hapaSasa, kwani kuna haja ya kukonda hapa ndugu? Si ubaki na msimamo wako tu? Tufanye hivi, mimi nimejidai kukukosoa kumbe upo sahihi. Basi nabaki na haka kaujinga kangu na wewe unabaki na werevu wako. Unaniacha nahangaika na ulimwengu.
Hapo vipi?
Prepositions.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umetisha mheshimiwa waziriHow much baby you are to be born....
[emoji23][emoji23][emoji23] hakikaHihihi, hivi unajua wapiga kelele darasani ni lazima wawepo?
Achana nao tu.
Ziendee utuletee madiniItabidi niliendee chimbo, zinanitoaga kwenye reli hizo mambo.
Yaani nikiandika report kuna jamaa huwa ni mtaalamu wa lugha anakosoa sana hizo kitu, halafu mimi hazipandi kabisa.
Hzo zote ni preposition mkuu..Hivi lile somo la of, at, in, by, ndiyo conjunctions au ni vitu gani hivi.
noma sana hii kitu walimu wa english hawajawahi toleaa hata mfano wamebaki tu kwenye first and last bornHow much baby you are to be born....
Hzo zote ni preposition mkuu..
Conjuction is just the glue that holds words,Phrase ,Clause together...For instance the use of "But","For,Neither nor ,Either or and so n so....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziendee utuletee madini