Jifunze TENSES hapa

Jifunze TENSES hapa

Ndugu, pale ulisema vyote, mtendwa na mtendewa ni sawa. Hiki ndicho nilichopinga, ndiyo maana wanasarufi wakaja na hoja ya direct object na indirect object. Katika sentensi

Y bought K a car.

Huyo atakaepokea gari, K ni mtendewa(indirect object) na gari ni kitendwa(direct object). Huu ndiyo utofauti nilitaka kuubainisha. Aidha, Y atabaki kuwa mtenda wa jambo, ameitenda gari(yani kainunua) na amemtendea K jambo (yani kamnunulia gari K)
La pili, sijasema mtenda na mtendwa ni kitu kimoja ila nimesema inaweza kuwa vyovyote, mtendwa au mtendewa na ndio lilikuwa swali la niliyekuwa namjibu naona unaleta maelezo mareefu
 
La pili, sijasema mtenda na mtendwa ni kitu kimoja ila nimesema inaweza kuwa vyovyote, mtendwa au mtendewa na ndio lilikuwa swali la niliyekuwa namjibu naona unaleta maelezo mareefu

Sasa, kwani kuna haja ya kukonda hapa ndugu? Si ubaki na msimamo wako tu? Tufanye hivi, mimi nimejidai kukukosoa kumbe upo sahihi. Basi nabaki na haka kaujinga kangu na wewe unabaki na werevu wako. Unaniacha nahangaika na ulimwengu.

Hapo vipi?
 
Sasa, kwani kuna haja ya kukonda hapa ndugu? Si ubaki na msimamo wako tu? Tufanye hivi, mimi nimejidai kukukosoa kumbe upo sahihi. Basi nabaki na haka kaujinga kangu na wewe unabaki na werevu wako. Unaniacha nahangaika na ulimwengu.

Hapo vipi?
Sidhani kama tuko tofauti ila tunaongea kitu kimoja tatizo ni kwamba hatuelewani. Wewe haukunielewa niliposema mtendwa na mtendewa ni sawa ukanijibu bila kujua nilikuwa namaanisha nini. Mimi nilimaanisha ile 'me' inaweza kusimama vyovyote either kama mtendwa au mtendewa. Anyways sote tunajifunza sidhani kama kuna mwerevu wala mjinga hapa
 
Back
Top Bottom