Jihadhari na hiki kituo cha mafuta cha Victoria

Jihadhari na hiki kituo cha mafuta cha Victoria

Hivi protokali ya kuweka mafuta ikoje?
Unapofika Fuel station pump huwa zinaandikwa majina ya aina ya Fuel.

Huwezi kuta pump ya diesel imeandikwa petrol and viceversa. Na wewe mwenye gari unawajibu wa kutazama hilo. Kuna gari hutoka modeli moja ila zinatumia mafuta tofauti.

Mfano Prado, descovery etc, zipo za petrol na za diesel. So wewe unawajibika kwanza na gari lako kulingana na unavyolijua. Ukiipaki pampu ya pefrol it means unataka uwekewe petrol, ukiipaki kwenye diesel inamaana unataka uwekewe diesel......

Why unalaumu petrol station attendants....
 
Poleni sana mimi nilishasahau mambo ya mafuta. I just go green and electric with my Telsa model X (ila natamani tu kuimiliki)
Dah...siku ukiimiliki nishtue..nikurekebishie...kuna kakitu kadogo wazungu wamekasahau....utafurahi maisha yako yote [emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Unapofika Fuel station pump huwa zinaandikwa majina ya aina ya Fuel.

Huwezi kuta pump ya diesel imeandikwa petrol and viceversa. Na wewe mwenye gari unawajibu wa kutazama hilo. Kuna gari hutoka modeli moja ila zinatumia mafuta tofauti.

Mfano Prado, descovery etc, zipo za petrol na za diesel. So wewe unawajibika kwanza na gari lako kulingana na unavyolijua. Ukiipaki pampu ya pefrol it means unataka uwekewe petrol, ukiipaki kwenye diesel inamaana unataka uwekewe diesel......

Why unalaumu petrol station attendants....
Unachosema ni kweli kabisa.
Lakini watu hatulingani.
Stress za kazi, foleni barabarani na si ajabu umefika kituoni baada ya mahasira ya kuchomekewa na daladala.
Ndio maana lazima na pump attendant kuwa proffessional.
So kuminya mafuta tu.
Na katika hili tukio mimi ndio niligundua kuwa nawekewa mafuta siyo baada ya lit a 18 kuingia kwenye tanki.
 
Kwa ishu kama iliyomtokea mleta uzi gharama za kuclear tatizo zinaweza kufika kiasi gani.

Nauliza kwaajili ya kupata maarifa tu.
Dah....kwa gari ya dizeli ukiweka petrol madhara ni makubwa kuliko ya petroli kuweka dizeli....
Dizeli hutumika kama kilainishi katika pampu hivyo kuweka petroli huongeza msuguano utakaosababisha uharibifu mkubwa utakaopelekea kubadilishwa vifaa vya pampu ambavyo ni ghali kutegemea na aina ya gari....
Kwa gari za petroli zikiwekwa dizeli siyo ishu kivilee....unasafisha njia ya mafuta na plagi tu....inarudi barabarani ,[emoji2960]
 
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!

Sijui EWURA wanasemaje hapo.
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!

Sijui EWURA wanasemaje hapo.

View attachment 1827601
Nimesikia Kwamsisi huko Handeni, kuna waganga 6000. Wasani kila nyumba ina fundi. Nenda huko kawavimbishe vitenesi. Yani wewe unapaki kwa pampu ya dizeli, wao kimiujiza wanaipeleka pampu ya petroli. Shxz sana (kwa sauti ya Atwoli)
 
Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!

Sijui EWURA wanasemaje hapo.

View attachment 1827601
Dah....kikawaida.... kama EWURA wakiacha kuangalia zaidi makusanyo ya fedha kutoka katika vituo....na wakaamua kutoa elimu na kusimamia kwa Malini uendeshaji wa vituo hivi....basi ujinga kama huu no nadra kutokea....
Kiutaalamu....vile vichwa vya mabomba ya kuwekea mafuta havitakiwi viwe Sawa...vya dizeli ni vikubwa zaidi ya vile vya petroli...hata midomo ya matenki ya mafuta ya gari....ya dizeli ni mikubwa kuliko ya petroli....kwa elimu hii tu ni vigumu kwa mjaza mafuta kuweka petroli kwenye gari la dizeli....[emoji2960]
 
Naliona tatizo kwa mleta uzi. Inaonekana ana uzembe au ni mgeni na magari

- Fuel pump zote zina lebo why uende kwenye pampu ya petroli

- Ukifika kituo cha mafuta, hatua ya kwanza huwa ni kuzungumza na mhudumu juu ya kiasi na bei. Mleta uzi huwa unajaza automatically bila majadiliano na muuzaji!? Na kama ulijadiliana nae hizo mara mbili ulishindwa vipi kutaja bei na kusisitiza aweke Dizeli.

- Rekodi ya vituo vya Victoria Service Stations vilivyosambaa hapa Dar ni safi kuanzia kwenye usafi wa mafuta hadi services za magari. Victoria ni kituo pekee cha mzawa kinachotoa huduma bora sana ya car services na fuelling. Wewe unaonekana una ulimbukeni fulani kwenye magari kama sio wale wa roho za kichawi za kuchafua biashara za watu.

- Uzi wako hauwezi kusababisha any negative impact kwa Victoria, hadi hapa naandika hizi comments majority wameona wewe ni mzembe tu kama wazembe wengine

- Siku nyingine uwe makini, acha uzembe
 
Huu ni uzembe waki. Zile Mashine zimeandikwa Petrol au Disel sasa unadhani wao wataota? Gari nyingi ndogo wanajua ni petrol
 
Naliona tatizo kwa mleta uzi. Inaonekana ana uzembe au ni mgeni na magari

- Fuel pump zote zina lebo why uende kwenye pampu ya petroli

- Ukifika kituo cha mafuta, hatua ya kwanza huwa ni kuzungumza na mhudumu juu ya kiasi na bei. Mleta uzi huwa unajaza automatically bila majadiliano na muuzaji!? Na kama ulijadiliana nae hizo mara mbili ulishindwa vipi kutaja bei na kusisitiza aweke Dizeli.

- Rekodi ya vituo vya Victoria Service Stations vilivyosambaa hapa Dar ni safi kuanzia kwenye usafi wa mafuta hadi services za magari. Victoria ni kituo pekee cha mzawa kinachotoa huduma bora sana ya car services na fuelling. Wewe unaonekana una ulimbukeni fulani kwenye magari kama sio wale wa roho za kichawi za kuchafua biashara za watu.

- Uzi wako hauwezi kusababisha any negative impact kwa Victoria, hadi hapa naandika hizi comments majority wameona wewe ni mzembe tu kama wazembe wengine

- Siku nyingine uwe makini, acha uzembe
Kukubali uzembe si kosa ,hilo nakubali , na sitarudia uzembe wa kujaza mafuta pale Victoria.

Pump attendants very unprofessional, na ni visichana ni dhahiri vimetoka shamba majuzi.
Victoria vitu mko vizuri?
Kituo panavuja wakati wa mvua kama nyumba ya nyasi!

Mzawa ni vizuri kumpa tafu, lakini sio kwa risk ya uzembe wa pump attendant na dharau za manager wake.
Na endeleeni kudharau wateja wenu.

Anaye kudharau mteja ujue biashara hiyo ni tegesha tu, Ana biashara nyingine.
 
Kukubali uzembe si kosa ,hilo nakubali , na sitarudia uzembe wa kujaza mafuta pale Victoria.

Pump attendants very unprofessional, na ni visichana ni dhahiri vimetoka shamba majuzi.
Victoria vitu mko vizuri?
Kituo panavuja wakati wa mvua kama nyumba ya nyasi!

Mzawa ni vizuri kumpa tafu, lakini sio kwa risk ya uzembe wa pump attendant na dharau za manager wake.
Na endeleeni kudharau wateja wenu.

Anaye kudharau mteja ujue biashara hiyo ni tegesha tu, Ana biashara nyingine.
Wewe kajamaa sio Bure Kuna kitu cha ziada..hii story ya Diesel Na Peteol Ni kisingizio Tu lakini una chuki zako binafsi Na Victoria em weka wazi
 
Naona wachangiaji wote humu mnamiliki mikebe...😜😂
 
Wewe kajamaa sio Bure Kuna kitu cha ziada..hii story ya Diesel Na Peteol Ni kisingizio Tu lakini una chuki zako binafsi Na Victoria em weka wazi
huyu bwana mdogo ana mambo yake mengine na inaonekana ni masuala ya mapenzi. hiyo ya mafuta ni geresha tu
 
huyu bwana mdogo ana mambo yake mengine na inaonekana ni masuala ya mapenzi. hiyo ya mafuta ni geresha tu
Ya mapenzi nakuachia wewe babaangu uliye na dhakari mbili, maana unaiona dunia kwa macho ya makalio ha mabibi tu.
 
Wewe kajamaa sio Bure Kuna kitu cha ziada..hii story ya Diesel Na Peteol Ni kisingizio Tu lakini una chuki zako binafsi Na Victoria em weka wazi
Mkuu ni kweli nili udhika sana hasa dharau za yule manager dhidi ya malalamiko yangu, na nilimjahidi kuyaweka wazi haliyotokea, mimi mdau wa habari.
Kuna watu hatudhrauliwi bwana.
 
Ndio maana anawatahadharisha wengine.
Watu wengi hawalalamiki walipata matatizo.
Buyer beware, ni vema umewatahadharisha wengine.
Niliwahi wekewa petroli kwenye canter miaka kadhaa iliyopita.
Gari ilijiresi hadi engine ikaungua kabisa!
 
huyu bwana mdogo ana mambo yake mengine na inaonekana ni masuala ya mapenzi. hiyo ya mafuta ni geresha tu
Kwani una shares kituo hicho au unakitetea kwa nguvu kubwa kwa vile ni wa kabila lako?
Uzembe wa pande zote lazima uwe exposed kabla ya majanga na kwa faida ya wengine wasiojua.
 
Back
Top Bottom