Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh Walipigwa mtama yani hapo unapoteza control ya gari mazimaPana cruiser moja ilifinyangwa na roli mbili alikuwa ana overtake roli na tela lake yaani pulling roli linalovuta tela akikaribia kumaliza overtake mbele semi inakuja wangu wangu akaongeza mafuta amalize kuovertake ile kamaliza tu kuingia kushoto akapigwa kwa nyuma akasukumizwa mbele ya roli linalokuja nalo likapiga kwa mbele hakutoka mtu pale kwenye cruiser
Hio gari iliopata ajali ni canter, sio basi hilo!
Ni DashcamHata canter si ina siti za abiria kaka?
Mfano huyo anayechukua video naamini alikuwa ni abiria...
"Lugha ya picha".[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwahio mwamba amemaliza nusu saa hapo
Tunatakiwa tuwe na nijia kama ya Ubungo kibaha ambayo ni inter-regions. Nimesikia wanataka waijenge hadi Tunduma nadhani itakuwa safi. Kunakuwa na 6 lanes 2 zinakuwa standard halafu moja inakuwa express way ya kulipia watu wafunguke hadi basi.
Kinana amesema hayo baada ya kushuhudia foleni ya malori yaliyobeba mizigo akiwa kwenye ziara yake akitokea Songwe kwenda Mbeya Mjini huku akieleza hali hiyo inachangiwa na barabara hiyo kuwa ndogo.
Noma kweli, hii sio ya wale jamaa wa TRA wanaofukuzia magendo kweli maana Landcruiser iliisha ikabakia chassis tu.Pana cruiser moja ilifinyangwa na roli mbili alikuwa ana overtake roli na tela lake yaani pulling roli linalovuta tela akikaribia kumaliza overtake mbele semi inakuja wangu wangu akaongeza mafuta amalize kuovertake ile kamaliza tu kuingia kushoto akapigwa kwa nyuma akasukumizwa mbele ya roli linalokuja nalo likapiga kwa mbele hakutoka mtu pale kwenye cruiser
Mbona naona kama ile ni cctv survey lensHata canter si ina siti za abiria kaka?
Mfano huyo anayechukua video naamini alikuwa ni abiria...
Sio,Noma kweli, hii sio ya wale jamaa wa TRA wanaofukuzia magendo kweli maana Landcruiser iliisha ikabakia chassis tu.
Mbona naona kama ile ni cctv survey lens
Ni Dashcam
Tanboy huyo tena ndio alimstua jamaa kuwa speed kubwa na kushoto kwao kuna gari inakuja kibati, Ndio dereva kapeleka upande wake kumbe loooh! Hatari zaidi kakifuata kifo...Yes upo sahihi...
Lakini kuna abiria hapo ana sweta au pull-over ya orange, na probably ndio huyo anasikika akiongea kwenye simu...
View attachment 2471650
View attachment 2471652
Dah hatarTanboy huyo tena ndio alimstua jamaa kuwa speed kubwa na kushoto kwao kuna gari inakuja kibati, Ndio dereva kapeleka upande wake kumbe loooh! Hatari zaidi kakifuata kifo...
"huwezi simama na gear namba 5"Kwahio speed ilikuwa haiwezekani sababu huwezi simama na gear namba 5 ndio maana kaanza kulipiga lorry la mbele yake then kukwepa akakutana na basi limekwepa ajali kwa hio kinaumana kama kawaida.