KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #21
Utakula ndio ule au unakula kwanza ndio ule?
Naamini umeshakula ukashiba mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini umeshakula ukashiba mkuu
Nijibu ili nijue utaanza kipiUtakula ndio ule au unakula kwanza ndio ule?
Una traumaKATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Zalisha then achana naye mwanaume mwingine amzalishe...
Vijana ni wavivu, wanataka mashangazi ili walelewe tu, hawana lolote hao wanaotaka wanawake waliowazidi umriMen,
Nasisitiza tena na sitaacha kusisitiza.
Usiingie wala kujihusisha kwenye mahusiano na Mwanamke aliyekuzidi umri.
You deserve Better.
Weka na takwimu za wanaume, otherwise your research is meaningless and uselessKuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wana mapenzi ya kweli. 22-24 wana mawenge. 24-27 wanajitambua. 27-30 wana hofu na mashaka mengi. 30-35 wana msongo wa mawazo. 35-42 ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake hasa wanawake wa kundi la 6. Wanawake wa kundi la 6 wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.
🟢🟡🟢🟡🟢🟡💛💚💛💚💛💚💛💚Naomba niwataarifu kwamba Yanga imeingia nusu fainali.
Mjadala uendelee
Weka zakoWeka na takwimu za wanaume, otherwise your research is meaningless and useless
Kwanza muulize je ameoa?Kwa hiyo mwanaume mwenye umri mkubwa labda amefika zaidi ya miaka 55 akiwa mjane naye unamshauri ni heri aoe wenye umri wa kundi la kwanza.
Mimi siwezi kufanya upumbavu wa kuweka takwimu hapa jamvini kama sijazipata Tanzania Bureau of Statistics. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Yeye ndio atuambie amepata wapi takwimu zake.Weka zako
Mimi siwezi kufanya upumbavu wa kuweka takwimu hapa jamvini kama sijazipata Tanzania Bureau of Statistics. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Yeye ndio atuambie amepata wapi takwimu zake.
Takwimu zipo nyingi tu, za kutafiti mwenyewe na zile zilizo tafitiwa na watu wengine individuals na taasisi.Mimi siwezi kufanya upumbavu wa kuweka takwimu hapa jamvini kama sijazipata Tanzania Bureau of Statistics. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Yeye ndio atuambie amepata wapi takwimu zake.
Unfortunately, sehemu kubwa ya nyuzi humu JF ni full miropoko
Nawafokea kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yaani Tanzania. Kwa bahati mbaya ninapofungua nyuzi nyingi humu JF, sipati ile intellectual content, yaani taarifa zilizo na facts and figures au proof ambazo zinaweza ku substantiate allegations made au hypothesis iliyokua put...www.jamiiforums.com
MIXOLOGIST nashukuru kwa maoni yako. Ila pia naomba usome nilichomjibu Mrembo JemimaTakwimu zipo nyingi tu, za kutafiti mwenyewe na zile zilizo tafitiwa na watu wengine individuals na taasisi.
Utafiti ni gharama kubwa, nchi yetu fukara haiwezi kutafiti kila kitu, hivyo basi haina takwimu nyingi za kutosha.
Karibu kwa swali lingine.
noted mkuuMIXOLOGIST nashukuru kwa maoni yako. Ila pia naomba usome nilichomjibu Mrembo Jemima
Kutumia takwimu za mamlaka ya Takwimu sio ombi bali ni takwa la kisheria. Naungana na MIXOLOGIST kwamba hapa jamvini pamejaa mikurupuko.Takwimu zipo nyingi tu, za kutafiti mwenyewe na zile zilizo tafitiwa na watu wengine individuals na taasisi.
Utafiti ni gharama kubwa, nchi yetu fukara haiwezi kutafiti kila kitu, hivyo basi haina takwimu nyingi za kutosha.
Karibu kwa swali lingine.