Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Very trueHii ni nadharia tu.
umri na tabia za mtu havina uhusiano kabisa kwenye mambo hayo ya mahusiano....eti kwamba akiwa umri fulani atakuwa hivi au vile hapana....nonsense!
mtu kuwa hivi au vile katika umri fulani itategemea na malezi au experiences alizozipitia ndo zitaamua ku behave vipi katika umri fulani.....lakini hakuna guarantee kwamba akifika age fulani ni lazima awe hivi.
LovelyMi nipo kwenye 30-35 hapo ivo amenipa kaz ya kutumia mbinu ya kuruka hiyo miaka mingine ili nisikumbane na balaa....afu usijali wangu...mi sijawahi umizwa na Uzi wowote humu.,..mi naishi maisha ambayo si ya humu jf...tena MTU asijekaza fuvu eti ananifahamu....😉teh!
Haiwezekani kila muda watu wakajadili kilimo au siasa peke yake.Ndiyo maana hata wewe ukaingia MMU.Halafu,ukieleza kwamba kwenye siasa kuna wachangiaji wepesi kifikra unaonesha ni kiasi gani hupendi kulijua daraja lako au hali halisi unayoiishi.Kuna wengi wanaijua siasa vema kabisa.Lakini,kutokana na aina ya maisha yake,wala haichukulii maanani jinsi wewe unavyokaza shingo.Unajadili jambo serious,yeye analeta utani makusudi.After all(afutaloo) ana id batili.Utamfanyaje?Kilimo ni uti wa mgongo kwa taifa letu na nchi nyingi barani Afrika. Ajabu tukianzisha mada kwenye jukwaa la Kilimo hazipati wachangiaji.
Majukwaa Kama ya Kilimo; Ajira na tenda; Ujenzi; Biashara; Elimu na mengine yenye tija hayana wachangia.
Jukwaa la Siasa linajitahidi kupata wachangiaji japo wengi wao ni watoto kifikira. Jukwaa pekee busy masaa yote ni hili, japo napo hakuna la maana la kujifunza
Asalamaleko mkuu [emoji3][emoji3][emoji3]KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Zalisha then achana naye mwanaume mwingine amzalishe...
Kuna siri ambayo ni wakati sasa sote tufahamu kuhusu wanaume. Wengi wao ni watu wenye ubaguzi wa kijinsia. Hawawaoni wanawake kama binadamu, bali kama vitu vinavyopatikana tu kwa ajili ya raha yao wenyewe. Haijalishi wao wenyewe ni wazee na wenye sura mbaya, hawana nia na wanawake halisi, badala yake wanapendelea kuoa watoto ili waweze kuwadhibiti na kuwatawala.Kuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wana mapenzi ya kweli. 22-24 wana mawenge. 24-27 wanajitambua. 27-30 wana hofu na mashaka mengi. 30-35 wana msongo wa mawazo. 35-42 ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake hasa wanawake wa kundi la 6. Wanawake wa kundi la 6 wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.
Kuna siri ambayo ni wakati sasa sote tufahamu kuhusu wanaume. Wengi wao ni watu wenye ubaguzi wa kijinsia. Hawawaoni wanawake kama binadamu, bali kama vitu vinavyopatikana tu kwa ajili ya raha yao wenyewe. Haijalishi wao wenyewe ni wazee na wenye sura mbaya, hawana nia na wanawake halisi, badala yake wanapendelea kuoa watoto ili waweze kuwadhibiti na kuwatawala.
Unaweza kusikia mwenyewe? Je, unasikia jinsi unavyopoteza utu?Sasa wanaoa maroboti. Roboti una adjust tu uno liende kilometa ngapi kwa saa
18 t0 22 ni wa kupakua tu, tena nyuma na mbele...sio kuoaKuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wana mapenzi ya kweli. 22-24 wana mawenge. 24-27 wanajitambua. 27-30 wana hofu na mashaka mengi. 30-35 wana msongo wa mawazo. 35-42 ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake hasa wanawake wa kundi la 6. Wanawake wa kundi la 6 wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.
AhahaaaaaKilimo ni uti wa mgongo kwa taifa letu na nchi nyingi barani Afrika. Ajabu tukianzisha mada kwenye jukwaa la Kilimo hazipati wachangiaji.
Majukwaa Kama ya Kilimo; Ajira na tenda; Ujenzi; Biashara; Elimu na mengine yenye tija hayana wachangia.
Jukwaa la Siasa linajitahidi kupata wachangiaji japo wengi wao ni watoto kifikira. Jukwaa pekee busy masaa yote ni hili, japo napo hakuna la maana la kujifunza
We mbona haukuolewa ulipokuwa mtoto? au hukupitia hiyo stage..🤔Kuna siri ambayo ni wakati sasa sote tufahamu kuhusu wanaume. Wengi wao ni watu wenye ubaguzi wa kijinsia. Hawawaoni wanawake kama binadamu, bali kama vitu vinavyopatikana tu kwa ajili ya raha yao wenyewe. Haijalishi wao wenyewe ni wazee na wenye sura mbaya, hawana nia na wanawake halisi, badala yake wanapendelea kuoa watoto ili waweze kuwadhibiti na kuwatawala.
Umejisokota sana kwenye mada yako.Kuna siri ambayo wanaume hawaijui kuhusu wanawake. Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wana mapenzi ya kweli. 22-24 wana mawenge. 24-27 wanajitambua. 27-30 wana hofu na mashaka mengi. 30-35 wana msongo wa mawazo. 35-42 ndoa nyingi huvunjika. Kwa hiyo, kuwa makini na wanawake hasa wanawake wa kundi la 6. Wanawake wa kundi la 6 wengi wao wana vinasaba vya wapenzi wao wa zamani.
Wanawake wenye umri wa miaka 18-22 wanaweza kutawaliwa. 22-24 wanaweza kukuumiza. 24-27 unaweza kuweka nao malengo yenye tija. 27-30 watakuchunguza sana na hawatakupenda kutoka moyoni. 30-35 wamejawa na dharau za kijinga. 35-42 watakung’ang’ania kupoza hasira za huko walikotoka.
Tofauti na wanawake wenye umri wa miaka 18-22, na wanawake wenye umri wa miaka 24-27, wengine wote ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Mwanamke mwenye umri wa miaka 42 na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako ikiwa mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni majaaliwa ya Mwenyezi Mungu, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama Mwenyezi Mungu alimjaalia watoto.
🔊Umejisokota sana kwenye mada yako.