1. Ardhi ni lazima kuwe na kiapo cha Spouse Consent kama anasema Hana lazima aweke kiapo kuwa Hana Mume au Mke...Kiapo kinapatika mahakamani au Kwa Wakili.
2. Malipo yote ya Serikali yanalipwa Kwa Control Number mwenyekiti akikuambia Nataka 10% akupe control number ulipe.
3.Malipo yote yafanyike electronic Bank au Weka Hela Tigo Pesa Nk.
Tatizo hatupendi kuuliza na kupata elimu...Sikuhizi ukigoogle taratibu za kununua Ardhi utapata majibu.
Nenda ofisi ya Ardhi karibu yako uliza taratibu utapata msaada.