macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Hakuna utapeli kama huu. Ungekuwepo hakuna mtu angenunua kiwanja halafu akiendeleze.Mkuu na ule utapeli wa kuuziwa kiwanja afu wanakuroga unasahau kila kitu kuhusiana na kiwanja chako, siku ukikumbuka unasema ntafuatilia kesho siku ukisema uende eneo ulilouziwa hukumbuki hata njia ya kuingilia hadi namba za dalali unasahau ulisave vipi[emoji24]