Sahihi kabisa, nadhani hadi watakavyopigwa vya kutosha ndipo wataelewa. Niliwahi kulisisitiza hili suala humu JF nikashangaa watu wananirushia mawe๐๐๐๐๐Na kisheria Hawa wenyeviti wa mitaa hawatambuliki kwenye kusimamia mauziano ya ardhi, labda wawe Kama mashaidi tu
Sheria haitambui serikali za mitaa kama Commissioner of Oaths/Notary public.Mkuu haya ninazungumza masuala ya kisheria, hizo habari za riba za 100% hazitambuliwi na sheria. Kikubwa chukua tahadhali.
Hadi walimu wa dini pia matapeliBongo daslam kila mtu ana chembechembe za utapeli yan kibaka n tapeli raia n tapeli mfuasi wadin nae tapeli yan ukizembea kdogoo tu andka maumiv
Usipowashirikisha watakuletea zwengwe kwenye ujenzi ๐คฃ๐คฃNa kisheria Hawa wenyeviti wa mitaa hawatambuliki kwenye kusimamia mauziano ya ardhi, labda wawe Kama mashaidi tu
Labda wakutane na asiyejitambua, na kweli wasiojitambua ni lukukiNa
Usipowashirikisha watakuletea zwengwe kwenye ujenzi [emoji1787][emoji1787]
Uzi wa kuelimisha sana kuhusu masuala ya ununuzi wa ardhi, ajabu utakosa wafatiliaji/watazamaji.UZI MZURI SANA HUU, UTAWAFUNGUA MACHO WATU WENGI
Sawa mkuu๐Jamani zingatieni sana suala hili, mtanishukuru mbeleni. Namaanisha sana
Mkuu naomba nidokeze baadhi ya hatua za kisheria za kununua ardhi hapa nchini kwetu Tanzania kwa wakati huu?1. Ardhi ni lazima kuwe na kiapo cha Spouse Consent kama anasema Hana lazima aweke kiapo kuwa Hana Mume au Mke...Kiapo kinapatika mahakamani au Kwa Wakili.
2. Malipo yote ya Serikali yanalipwa Kwa Control Number mwenyekiti akikuambia Nataka 10% akupe control number ulipe.
3.Malipo yote yafanyike electronic Bank au Weka Hela Tigo Pesa Nk.
Tatizo hatupendi kuuliza na kupata elimu...Sikuhizi ukigoogle taratibu za kununua Ardhi utapata majibu.
Nenda ofisi ya Ardhi karibu yako uliza taratibu utapata msaada.
Wanakua kama mashahidi kiaje?Naomba ufafanuzi mkuuNa kisheria Hawa wenyeviti wa mitaa hawatambuliki kwenye kusimamia mauziano ya ardhi, labda wawe Kama mashaidi tu
Naomba muongozo sa namna ya kumjua mmiliki wa halali wa kiwanja kisicho kua na hati yani squatter na namna ya kumjua mmiliki halali wa shamba lenye hati ya wizara yani kufanya offical search bila kua na uhanja ujanja maana siku hizi mpaka wafanyakazi wa wizara wamekua wakishiriki kwenye utapeliMkuu nimezidokeza zote pamoja na tahadhali za kuchukua. Soma tena huu uzi utaelewa na kama hutakua umeelewa utaniuliza
Mkuu haya mambo ni techniques tu na ndio maana hapo katika kichwa niliandika kuwa "..KUPUNGUZA UTAPELI..." kimsingi kumaliza utapeli ni ngumu kidogo lakini kwa upande wa ardhi iliyopimwa ni rahisi zaidi na kikubwa kama wewe huna uzoefu ama ufahamu wowote juu ya masuala haya tafadhali tumia mawakili wakusaidie.Naomba muongozo sa namna ya kumjua mmiliki wa halali wa kiwanja kisicho kua na hati yani squatter na namna ya kumjua mmiliki halali wa shamba lenye hati ya wizara yani kufanya offical search bila kua na uhanja ujanja maana siku hizi mpaka wafanyakazi wa wizara wamekua wakishiriki kwenye utapeli
Hayo mambo siyajui na sifahamu namna ya kuyazuia. Lakini mwiba ulipoingilia ndipp utatokea๐๐๐๐Mkuu na ule utapeli wa kuuziwa kiwanja afu wanakuroga unasahau kila kitu kuhusiana na kiwanja chako, siku ukikumbuka unasema ntafuatilia kesho siku ukisema uende eneo ulilouziwa hukumbuki hata njia ya kuingilia hadi namba za dalali unasahau ulisave vipi[emoji24]