Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Jikite kwenye mada mwanaume unayejiita mamasamiaSawa Ndugu Masikio mwenye akili nyingi sana za kuvukia barabara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikite kwenye mada mwanaume unayejiita mamasamiaSawa Ndugu Masikio mwenye akili nyingi sana za kuvukia barabara.
Mwanaume unayejiita mamasamia hongera kwa hiloJomba acha kunililia.. hakuna babako wala mamako hapa.
Mkuu wewe endelea kuwatukana wazazi wangu hilo haliniumizi kwa sababu huwajui na mimi siwezi watukana wazazi wakoHata mama yako usiku wa leo kanishukuru sana.
Sawa unapingana na mimi upande upi sasaAcha kunifundisha vitu ninavyovifanya kila siku. Kwa kiingereza tunaita TURNOVER
Wewe ndo haupo sawa. Kinachosemwa hapa ni LEVY na si VATHuyo jamaa ni bilionea ila mbona analipa kodi kiduchu.Kuna kitu hakipo sawa.
Hii service levy huwa inatofautiana mkoa kwa mkoa hivyo hiho 0.3% kuna mikoa mingine inachaji zaidi.Hio ni levy wewe, sio kodi. Kodi analipa TRA, hakmashauri ndo inachukua levy yake kisheria kabisa ambayo ni 0.3 ya turnover.
Chambulo ni tapeli tunamfahamu..
Na ameingia mkenge wa BASHITE hapo ndipo atakapovunwa pesa pasipo kujijua
Mambo ya kazi nilkuwa nikifanya kazi kwakeAmekutapeli nini ndugy ndugu!!? Weka hadharani ili tunayefanya naye biashara tuwe makini kama ni kweli.