We unaijua Arusha ama unaiskia?? Wafanyabiashara hapa walikuwa hawataki kulipa service levy, Wana malimbikizo makubwa ya NYUMA na Sasa huyu mkurugenzi amekuja kuisimamia SHERIA na kukusanya fedha za serikali, wafanyabiashara hawataki... Wanamuundia zengwe hivyo.. sababu tu ya kuisimamia mapato ya serikali.
Tume iliyoundwa na Makonda sio ya sakata hili, ni tume ya kufatilia kero na changamoto zinazokabili sekta ya utalii.
Chambulo ni mtata, kwenye maswala kama haya, Wacha uchunguzi wa kina ufanyike.. mbivu na mbichi zitabainika.
Asitishie watumishi wa kaisari Ili waogope kufata chao