Jiji la Dar es Salaam ndio nguzo kuu kwenye kufanikiwa, vijana kimbilieni huko

Mkuu nakuelewa, naijua familia yangu vizuri, ninacho amini naweza kufanya hizo harakati ndani ya ualimu huu, Lakini kwa sababu ya mkoa nilipo naona ni miyeyusho sana, hakika nitarudi dar es salaam kuendeleza mapambano.
 
Sawa.
 
Hata hao wafanya biashara huko mikoani wengi wao kuna level wakifika huwa wanahamishia biashara zao Dar.
Dar kuna mzunguko mkubwa sana wa Noti.
Ukibisha shauri yako.
 
Wazazi wanaangalia sana security mkuu, labda tu wanatofautiana padogo lakini wazazi wengi hasa wale ambao umri umeenda humwambii kitu kuhusu ajira serikalini.
 
Mkuu naona umekariri maisha ingawa ni kweli dar kuna mzinguko mkubwa wa hela na ni rahisi kutoboa ila kusema kwamba ni vigumu kutoboa mkoani kwangu ni big no! Mikoani kuna fursa kibao km utajipanga vizuri unatoboa asubuhi na mapema otherwise uwepo kwenye mikoa inaondekeza ukabila km moshi na kagera
 
Kungekua hakuna mzunguko wa biashara hao watu wa mikoani ungewaona huko kuja kuchukua bidhaa?

Akili yako na juhudi zako za kupambana ndio zitakazofanya utoboe kwenye haya maisha
hata mbinguni hakitaingia kinyonge naamini zaidi katika bidii na utashi wa mtu kupambana ...lazima utoboe na maisha yabadilike kutoka ulivokuwa
 
Ukitaka Kutoboa maeneo yoote hayo we kuwa MGANGA haijalishi wa ukweli au Uongo.....



Utapiga Helaa mpk uzikimbie
 

Vipi waliofanikiwa ni wengi pia au
 
Anawaingiza Cha kike huyu
 
Mkeo mjini umemwachia nani?
Usalama upo kweli?
Usije ukawa unatafuta pesa sana na wenzio wanatafuna mkeo sana.
Joking boss.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…