Na wale waliopewa dhamana ya kusimamia usafi wafanye kazi gani?Muhishimiwa,hii nchi ni ya ujamaa,kujitegemea na uzalendo.Anza kufagia palipo pachafu mkuu.
Mchafu utamjua tu,full kutetea uchafu.Kuna mawili
- Mleta uzi kalipwa
- Ameingia jijini akitokea Kongwa
Huu si uzi wa jokes jaribuni kuwa seriousUngechukua koleo, fagio, chepe upige usafi uwaoneshe usafi unavyotakiwa fanywa
Ova
Very very sad to hear this.Dodoma ilianza vizuri kwa mpangilio na ilikopi mji wa Lilongwe Malawi ambako enzi hizo CDA walikuwa wakienda kuangalia mpangilio wa maeneo na ujenzi wa nyumba, kwenye ujenzi vifaa vya ujenzi vilikuwa havitozwi ushuru hivyo vilikuwa vikitoka ulaya vinapelekwa Dodoma bila ushuru na bei ilikuwa ya chini sana, lakini viongozi wa CDA wakaanza kuviiba na kuvipeleka Dar kuviuza kwa bei kubwa, serkali ilipowakamata ikaondoa mpango huo na kuivunja CDA. Ilipoivunja CDA ramani yote ya mpangilio ikasambaratishwa watu wakaanza kupimiwa viwanja ndani ya maeneo yaliyojengwa mfano kituo cha mafuta Shabibby na Area C na D ndiyo ukawa mwisho wa ustaarabu na bustani ya CDA kwa ajiri ya kupanda miti na maua ya kulipendezesha jiji ikafa.
Mameya wapo kwa ajili ya kulinda masirahi ya chama. Rushwa na uchafu huwa hawana time navyo kabisa.Mji kuwa msafi ni wajibu WA mameya, ila nchi yetu mameya wapowapo TU!! Na hapo Dom yupo profeser
Sijui CCM wamemficha wapi? I miss the guy [emoji1][emoji1]Kwani Ndugai anasemaje??
"Nimekosa mimi"
"Nisamehe mimi"
"Nimekosea sana"
Mama"tokaaa[emoji1781]
Uwasaidie.Maana wao wanachelewa sana kujituma kwenye kazi yao halali.Na wale waliopewa dhamana ya kusimamia usafi wafanye kazi gani?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa. Sijui wenye mamlaka wanashida gani.Dar es salaam ndio jiji kongwe na kubwa katika eneo hili, Dodoma ndio inajengwa tena kwa masterplan iliyobuniwa miaka ya sabini, kwanza na sasa baada ya msukumo wa awamu ya tano tunategemea kuona usasa zaidi!, lakini bado Dodoma inapwaya. Angalau basi tungeona mabanda yaliyojaa pale njia nne yakiondolewa kupisha kitu kinachofanana na mji wa kisasa.... Hola!!. Uchafu kwa Dodoma haupaswi kuwa jambo la kujifunza kutoka Dar es salaam au kwingine kokote kuliko na vijiji vikubwa... Dodoma inatakiwa kuwa ya mfano katika nyanja zote zinazotafsiri hadhi ya kuitwa jiji.
Area D ya sasa si ya zamani.Karibu area D mkuu..
Ndugu huyo muuza mbao anajitahidi kwa hali yeyote vile kutetea uozo wake. Mwenyewe nimemshangaa sana. Kariakoo inavurugu lakini bado utaona mpangilio na miundombinu mizuri.Muogope Mungu ndugu yaani ufananishe China Plaza na zile mbao zilizojazana nje ya msikiti wa Gadafi kweli? Kwa idadi ya watu sikatai kkoo watu nyomiii ila haikeri km pale mpangilio mbovu sana tena sana
Anatetea uozo wake huyo.Watu km nyie mnaotetea upuuzi huwa mnanikera sana.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Wanamawazo finyu sana. Sasa kama mtu anafanya biashara ya mbao barabarani atakuwa na akili kweli?Tanzania kila mtu anataka afanye biashara barabarani sjui taifa gani hili? Uvivu wa kufikiri umekithiri mno!
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hahaha jiji ni title tu. Majiji pia huwa ni machafu.Tembelea ihumwa kuna madimbwi kama ya kufugia kambale Dodoma kuitwa jiji ni matumizi mabaya ya kiswahili upepo ukianza kuvuma bora kuishi Argesa Somalia!
Kwani mkuu wa mkoa hali oni hili [emoji15] wasaidizi wengine wana hitaji maelekezo na usimamiziKuna mtu alisema ni kwasababu DED wake anakaribia kustaafu, anaowakaimisha wanakula kwa urefu wa string
Cocastic mtoto mrembo, habari za huko uliko.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena hiyo biashara yangu ya mbao mahali hapo naifanya kistaharabu,watuache na biashara yetu ya mbao tupatr rizik.unaijua historia ya biashara ya mbao pale na uwepo wa msikiti mahali pake au unaropoka? km umekuja jana 😷mdomo wako kuna watu watakucheka,,
hiyo biashara iko mda sanaaaa tena ni wastaarabu kuliko biashara za aina nyingine hutaki kakae mlimani kwa waziri mkuu kule.
tena usirudie kuingilia biashara za watu wengine zimetulea heshimu kbs .
Aisee humu huenda tunachati na wagonjwa wa Milembe bila kujua[emoji1][emoji1][emoji1]Uwasaidie.Maana wao wanachelewa sana kujituma kwenye kazi yao halali.