Jiji la Dodoma ni chafu!

Very very sad to hear this.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwani Ndugai anasemaje??
"Nimekosa mimi"
"Nisamehe mimi"
"Nimekosea sana"
Mama"tokaaa🤥
 
Dom enzi hizo Shilam discotec NK town pale ilikua balaa,Area C,D kwa washua sikuwai kuona uchafu.
Nzuguni nimeenda kuchimba dhahabu huko nna miaka 16.
Chamwino Ikulu nilifika pale kuandaa mazingira na msafara wa BM unakuja nyuki wakatuvamia tukapigwa sindano haswa.
Lile jumba lilikua gofu tu porini huko
Jiwe alikaa magu akapiga foto nalikumbuka.
Nilikua nashinda pale naota jua week 2-3
Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania alisema Dr Remmy.
KaudO,CDA nyumbani mkuu wa mkoa alikua David herella sijui
Kama ni uchafu wakuja wameleta palikua safi sana.
 
Kweli kabisa. Sijui wenye mamlaka wanashida gani.
 
Muogope Mungu ndugu yaani ufananishe China Plaza na zile mbao zilizojazana nje ya msikiti wa Gadafi kweli? Kwa idadi ya watu sikatai kkoo watu nyomiii ila haikeri km pale mpangilio mbovu sana tena sana
Ndugu huyo muuza mbao anajitahidi kwa hali yeyote vile kutetea uozo wake. Mwenyewe nimemshangaa sana. Kariakoo inavurugu lakini bado utaona mpangilio na miundombinu mizuri.
 
Tembelea ihumwa kuna madimbwi kama ya kufugia kambale Dodoma kuitwa jiji ni matumizi mabaya ya kiswahili upepo ukianza kuvuma bora kuishi Argesa Somalia!
Hahaha jiji ni title tu. Majiji pia huwa ni machafu.
 
Tena hiyo biashara yangu ya mbao mahali hapo naifanya kistaharabu,watuache na biashara yetu ya mbao tupatr rizik.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…