Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na ukichukulia kila kitu serious humu JF,waungwana wanakaa pembeni wanakuchora unavyohangaika na hoja changamfu.Aisee humu huenda tunachati na wagonjwa wa Milembe bila kujua[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
HaswaaaNa ukichukulia kila kitu serious humu JF,waungwana wanakaa pembeni wanakuchora unavyohangaika na hoja changamfu.
We nae unakuwa km umerukwa akili!! Au izo mbao ni biashara yako?unaijua historia ya biashara ya mbao pale na uwepo wa msikiti mahali pake au unaropoka? km umekuja jana [emoji40]mdomo wako kuna watu watakucheka,,
hiyo biashara iko mda sanaaaa tena ni wastaarabu kuliko biashara za aina nyingine hutaki kakae mlimani kwa waziri mkuu kule.
tena usirudie kuingilia biashara za watu wengine zimetulea heshimu kbs .
acha uchochezi weka na picha mtumishiJiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.
Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.
Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?
Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.
Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?
Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Ngojea tukutumie mgambo waje wakufurumushe hapoTena hiyo biashara yangu ya mbao mahali hapo naifanya kistaharabu,watuache na biashara yetu ya mbao tupatr rizik.
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.
Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.
Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?
Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.
Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?
Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Cheki huyu mbanga..dodoma hata ironga tu bado hawajasohelea ndio utaje Jiji kama A Town?Dom kwa miaka michache itaipiku arusha ikiwa wataiendeleza. Ila kwa Dar na Mwanza itamchukua miaka labda 200 kuzifikia
Hata Mimi namshangaa, jiji analojaa Ndugai na ndugu zake unategemea liwe Safi?Unashangaa uchafu wa Dodoma, kwani CCM ni safi?
Duuuh..sasa haya mahaba niue aseee..Cheki huyu mbanga..dodoma hata ironga tu bado hawajasohelea ndio utaje Jiji kama A Town?
Nataka kuwakaribisha na ndugu zangu walioko mafinga na mufindi walete mbao eneo hili la msikiti wa gadafi, nazani hapa biashara ya mbao inalipa zaidi, unataka tukale wapi? Et kupendezesha jijiππππ tupo hapa na tutatamalaki njia zote za eneo hili.
Cheki huyu mbanga..dodoma hata ironga tu bado hawajasohelea ndio utaje Jiji kama A Town?
Dodoma ipo wazi sio private. Dodoma si chumba changu cha kulala kwamba bila picha huwezi kupaona. Dodoma ni makao makuu ya nchi.acha uchochezi weka na picha mtumishi
Kwahiyo?Dom kwa miaka michache itaipiku arusha ikiwa wataiendeleza. Ila kwa Dar na Mwanza itamchukua miaka labda 200 kuzifikia
Siku zenu zimebakia chache ndio maana mnaharisha hapa. Eti mbao. Mfyuuu Dodoma iache kupendeza kisa vijimbao vyenu? Kwani nyie wenyewe ndio mnafanya biashara ya mbao Tz nzima? Miji mengine mbona hawabughdhi wenzao na mbao barabarani? Ukiona hivi ujue akili zenu ni finyu sana.Nataka kuwakaribisha na ndugu zangu walioko mafinga na mufindi walete mbao eneo hili la msikiti wa gadafi, nazani hapa biashara ya mbao inalipa zaidi, unataka tukale wapi? Et kupendezesha jijiππππ tupo hapa na tutatamalaki njia zote za eneo hili.
We unajifanya unaijua Dodoma kuliko mimi matonya mgogo halisi tuache na Dodoma yetu, tunataka tuanzishe biashara ya mkaa tupange magunia kuzunguka ilo eneo la pembeni pamoja na barabarani tuone utanifanya nini.Siku zenu zimebakia chache ndio maana mnaharisha hapa. Eti mbao. Mfyuuu Dodoma iache kupendeza kisa vijimbao vyenu? Kwani nyie wenyewe ndio mnafanya biashara ya mbao Tz nzima? Miji mengine mbona hawabughdhi wenzao na mbao barabarani? Ukiona hivi ujue akili zenu ni finyu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie niko poaaahCocastic mtoto mrembo, habari za huko uliko.
We katoto adi sasa hujalala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie niko poaaah
Sina usingizi mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We katoto adi sasa hujalala.
basi huna ushaidi kaa kimyaDodoma ipo wazi sio private. Dodoma si chumba changu cha kulala kwamba bila picha huwezi kupaona. Dodoma ni makao makuu ya nchi.