Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.

Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.

We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
Wenye mawazo kama yako wapo hivi;
SHULE 1.jpg
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi.nmetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nlienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Kama ulichoandika hapa, ndicho Rais anafanya, kwamba anasusia maeneo flani ya nchi, kisa ni wafuasi wa chama cha upinzani, basi huyo Rais ni MPUMBAVU. Ila kama umeandika hapa, kwa ujinga wako mwenyewe, unafaa kukamatwa na kuwekwa ndani kwa masaa yasiyopungua 8760.
 
Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.

Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.

We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.

Kadanganye mafala, maendeleo sio hisani ya rais, sana sana hapa umeishia kuonyesha udhaifu wa rais kuwa hajui jukumu la urais ni nini, kwamba anaona maendeleo anaweza kuyapeleka kwa hisani sehemu anazoabudiwa. Zaidi 75% ya nchi hizi ni masikini, je kote huko rais haabudiwi ila Mbeya tu ndio kunamkwaza rais? Kama umekula hela ya Tulia Akson kuwa unaweza kumpigia debe huku mitandaoni, basi rudisha hela ya bibi wa watu maana hapa ni kama unachoma mahindi kwa tochi.
 
Mbeya ni kama maji, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utayafulia na usipoyafulia utayajengea. Mbeya imejaaliwa radhi yenye rutuba, iko kwenye location ya mpaka na nchi zingine, ina wasomi na watu wenye msimamo.

Hata ukikimbiza hayo unayoyaita maendeleo wananchi wa Mbeya hawawezi kuwa omba omba kama wa Singida, Shinyanga na Dodoma. Unaanzaje kutojenga barabara ya kwenda mkoa unaolisha nchi kwa mchele, mahindi, vizazi, mdizi na maharage?

Kuisusia Mbeya ni kuwasusia Watanzania. Ila kumbuka ni raha kuwa mwana Mbeya kwa vile wanajitambua, siyo mapompooma.
 
Mbona dodoma kuna hali mbaya hadi njaa ikidondoka wanakula mafunza? Kule handeni kila wakati wa njaa wanavamia maembe mabichi na kote huko ccm ndo imetamalaki au huko nako wanaamini ccm ndo itawapelekea maendeleo? Majimbo mengi ya ccm ndiyo yenye umasikini wa kutisha unaitwa kwa kisukuma 'mkunula' kwanza mleta mada hujafikia level ya kuongea chochote mbele ya watu wa mbeya city
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Simple thing ni kwamba, wambie chama chako wafute mfumo wa vyama vingi, mbona ni ishu ndogo sana?
 
Akili zako naona bado hujaenda kuzichukua ulipo ziacha pale lumumba kwa chakubanga
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo hapo ndipo akili yako ilipoishia?
Si ajabu kusikia nawewe umehitimu na kupewa cheti cha kidato cha 4.
Badala ya kumsema Rais ambaye fedha zote ziko mkononi mwake atende bila ya upendeleo wewe unawaambia wanaMBEYA wawacjague CCM ambao wameiharibu nchi kwa miaka 59 sasa.
Majitu mfano wa mleta mada yanapaswa kupuuzwa tu ,hivyo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaeleweka wazi kuwa mbunge pekee HALETI maendeleo, ila anashirikiana na wananchi kuhamasisha maendeleo kwa kuikumbusha serikali na kufuatilia nini kilipaswe kifanywe, ndio kusema mbunge anawasemea wananchi.

Swali langu ni Mh. Sugu amehamasisha mangapi na amesaidia mangapi kufanyika. Kwa ajili ya maendeleo ya wana Mbeya? Vipi hali ikoje tangu alipoanza na hadi sasa? Majibu ya maswali haya ndiyo picha halisi kua anafaa au imetosha awaachie wengine!
 
Back
Top Bottom