Mbeya ni kama maji, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utayafulia na usipoyafulia utayajengea. Mbeya imejaaliwa radhi yenye rutuba, iko kwenye location ya mpaka na nchi zingine, ina wasomi na watu wenye msimamo.
Hata ukikimbiza hayo unayoyaita maendeleo wananchi wa Mbeya hawawezi kuwa omba omba kama wa Singida, Shinyanga na Dodoma. Unaanzaje kutojenga barabara ya kwenda mkoa unaolisha nchi kwa mchele, mahindi, vizazi, mdizi na maharage?
Kuisusia Mbeya ni kuwasusia Watanzania. Ila kumbuka ni raha kuwa mwana Mbeya kwa vile wanajitambua, siyo mapompooma.