Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Aliyekupeleka Shule na Kuelimika amepoteza sana muda wake na Rasilimali zake na umeshatusaidia kujua uwezo wako mdogo wa Kiakili ulionao.
 
Practically maendeleo yana vyama. Politically hayana. CHAGUA CCM UPATE MAENDELEO.


Nyie c ndio mnaongea kila siku kua maendeleo hayana chama kumbe niuongo, acheni ubaguzi Nchi yetu sote, suala LA kupeleka maendeleo sehem sio hisani ya mtu ni lazima kwa serekali inayojitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are the worst of idiots. Ukitaka demokrasia acha watu watoe maoni yao hata kama huyapend.MWAKA 2020 TULIA/MWANACCM Mwingine anachaguliwa Mbeya . Na MBEYA MKIPUUZA HILI JOTO LAKE MTALIONA. MIMI NAJIANDAA KUMPIGIA KAMPENI MBADALA WA SUGU.

Ungesema umeanza kampeni mapema sio kujifanya unatoa Ushauri huku dhamira yako moyoni ni tofauti.

Tulipuuza toka 2015 na hakuna joto ya jiwe tuliyoona na huu mwaka hatufanyi makosa tena.

Kampeni njema
 
Inshort tu, banyambala kuamrishwa huwa hawapendi, vity vya masharti hawavitaki. 2020 Sugu tena
 
Mkuu kwa kwani arusha je?
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Fal....a
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetoka jana Mbeya wewe sio mtu wa Mbeya.Mbeya ina wwnyewe na ndio sisi.Mbeya jinsi ilivyo sisi tumeipenda.Kama kodi tunazotoa wanaona ndio za kutupigia Fresh acha tupegwe ila hatuchagui ccm.Dar ina uongozi wa ccm lakin hakuna jijinla hovyo kama Dar,Tanga ina ccm haina chochote cha maana.Arusha je ina wanaccm wengi lakin hakuna cha maana.Dodoma ndo takataka kabisa.Wanambeya tutabaki na Sugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kampeni mimi sijui. Ila wana Mbeya nimeongea nao wameshajifunza. Hawatofanya makosa yale yale. Na miaka hii hamna viroba wengi watakuwa na akili timamu wakati wa kampeni.

Ungesema umeanza kampeni mapema sio kujifanya unatoa Ushauri huku dhamira yako moyoni ni tofauti.

Tulipuuza toka 2015 na hakuna joto ya jiwe tuliyoona na huu mwaka hatufanyi makosa tena.

Kampeni njema i
 
Huna haya wala Soni kwa hiyo unawapangia Mbeya wapende chama gani? Kwani ikisuswa na CCM watu wa Mbeya wanapoteza maisha??

Magu anaondoka 2025 ataingia mwingine na maisha yataendelea, ajifunze Demokrasia kutoka kwa wenzie waliotangulia huwezi kukubalika na wote.

Idiot!!!.
Simara magu haondoki 2025 hata kidogo, magu anaondoka 2020 yaani this year.
Kama atapona ndani ya chama chake(ambako tayari kuna mgogoro mkubwa) basi atatoka kwa uchaguzi mkuu. Uchaguzi mkuu huu hautafanyika bila Tume huru kwa shinikizo LA vyama litakalo zaa shinikizo toka nje, amini nikuambialo.
Watu hawana haja ya kuwa na woga kuandaa wabunge wao wazuri na wawapendao nje ya CCM na kule ambako wapo wagombea wa CCM wachapa kazi wawachague tuu hata kama Rais hatatoka CCM.
Yaweza onekana ndoto, lakini Tume huru ikiwepo CCM hana ubavu kabisa kabisa wakushindana kutafuta kura majukwaani hivyo anaaga.
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Hamleti maendeleo kwasababu ya vyama halafu mnasema maendeleo hayana vyama ''mbona tunawajua kwamnba manongoza kwa unafiki'
 
Ujinga wangu ni mara 10 bora kuliko upumbavu wako. Mbeya inahitaji sana mchango wa serikali na wana mbeya nawashauri wasidanganyike na wapumbavu wachache kama wewe. Nawashauri wana MBEYA ACHENI UJINGA wa Aina hii. Fanyeni mambo ya maana.
Huna hoja , Mnafiki Mkubwa wee ! njooni Mbeya na Majeshi yote kudadeki ! kwenye sanduku mgombea wenu hawezi kuambulia hata robo ya kura za Sugu , hatuwezi kuwa na watu wenye akili za kiboya kama zako za kuhalalisha uvunjifu wa katiba , Maendeleo ya nchi yamepangwa kwenye katiba , si matakwa ya mtu yeyote hata angejivika Uungu , tutapambana hadi mnyooke , na tumejiandaa hasa
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Nmeshindwa hata kumalizia post yako, nmeshangaa jinsi unavyomsingizia Raisi mambo ya ajabu namna hii....Hivi Raisi wetu ni Raisi wa CCM au wa Tanzania? Nimekuwa nikimsikia kwenye hotuba zake mara kwa mara akisema yeye ni Raisi wa watu wote...CCM,CUf,CHADEMA,TLP......na wasiokuwa na vyama...!!! Sasa kwa kauli yako inaonyosha Raisi anatubagua kwa vyama vyetu,kitu ambacho sitaki kuamini! Unaposema Mbeya ilisuswa na haikupelekewa maendeleo, sasa hapo unamshitaki Sugu au Mh Raisi?
Sehemu yoyote ya nchi hii inapokuwa nyuma kimaendeleo,wa kulaumiwa wa kwanza ni Mh Raisi mana yeye ndo mwenye dhamana ya kuliletea nchi hii maendeleo.
 
Kama ulichoandika hapa, ndicho Rais anafanya, kwamba anasusia maeneo flani ya nchi, kisa ni wafuasi wa chama cha upinzani, basi huyo Rais ni MPUMBAVU. Ila kama umeandika hapa, kwa ujinga wako mwenyewe, unafaa kukamatwa na kuwekwa ndani kwa masaa yasiyopungua 8760.
Tena mpumbavu wa kiwango cha PhD
 
Wewe ni mpumbavu ,unavuta bange na hauna akili..


Kuichagua Chadema ndiyo misimano ya hovyo,????

Kama ndivyo kwanini msifute kibaki chama kimoja.????.

Laana kwa mamako kwa kuzaa mpumbavu kama wewe...
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Mbeya IPI ?labda ya somalia.maendeleo yapo tena makubwa.kama huyaoni vaa darubini
 
Back
Top Bottom