Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Uchaguzi 2020 Jiji la Mbeya, Hata kama mnampenda Mbilinyi (Sugu) msimchague. Ili mpate maendeleo chagueni CCM

Wasipokuelewa shauri yao
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda asilimia hiyo ni kwenye ukoo wenu wa panya

Sent using Jamii Forums mobile app
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA
Moja ya msingi wa Demokrasia ni uhuru wa kutoa maoni. Sasa nashangaa mimi nimetoa maoni wewe unitukania ukoo wangu mzima. Wengi hatuipendi CCM ila kwa akili kama zako ukiwa kama mpinzani basi tunakosa mbadala wa CCM. Lazima itawale tu
 
Wananchi wangeikubali ccm tungeona wakijitokeza kujiandikisha kupiga kura. Sasa hivi ukimuuliza mtu kama anaikubali ccm inabidi aseme anaikubali kwa ajili ya usalama wake. Kwani hao wanaikubali ccm kinawashinda nini kuingia huku jf? Huwezi kusema unakubalika kisha silaha yako ikawa ni kuwakomoa watu wasiokukubali kwa kuwanyima maendeleo kama mleta uzi anavyosema.
Nachoongea ni uhalisia na wala sio ushabiki kama wenu.
JE UNAJUA CCM inaungwa mkono na kundi lipi la watu.?
 
Huna haya wala Soni kwa hiyo unawapangia Mbeya wapende chama gani? Kwani ikisuswa na CCM watu wa Mbeya wanapoteza maisha??

Magu anaondoka 2025 ataingia mwingine na maisha yataendelea, ajifunze Demokrasia kutoka kwa wenzie waliotangulia huwezi kukubalika na wote.

Idiot!!!.
Hivi unaelewa maana ya demokrasia?
 
You are the worst of idiots. Ukitaka demokrasia acha watu watoe maoni yao hata kama huyapend.MWAKA 2020 TULIA/MWANACCM Mwingine anachaguliwa Mbeya . Na MBEYA MKIPUUZA HILI JOTO LAKE MTALIONA. MIMI NAJIANDAA KUMPIGIA KAMPENI MBADALA WA SUGU.
Unaelewa maana ya demokrasia?
 
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.

Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.

Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.

Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.

Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.

Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Lindi ruvuma Dodoma(ya CCM) halafu angalia Kilimanjaro Arusha (CDM) unipe Majibu ya uhakika katika hii mikoa ipi ni maskini wa kutupwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM wenyewe hawakuchagua CCM wakamchagua kichaa mwenzao Meko. Mwenye kuleta maendeleo hajawahi kutoka CCM.
 
Cdm haiwezi kuwa na wanachama mazuzu kama wewe
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA
Moja ya msingi wa Demokrasia ni uhuru wa kutoa maoni. Sasa nashangaa mimi nimetoa maoni wewe unitukania ukoo wangu mzima. Wengi hatuipendi CCM ila kwa akili kama zako ukiwa kama mpinzani basi tunakosa mbadala wa CCM. Lazima itawale tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo magufuli anavyo sema maendeleo hayana chama ni uongo? Acheni unafiki magamba. Hii nchi sio ya baba zenu waka mama zenu. Hii nchi niya. Wa Tanzania wote.
 
Mtu Asiyejulikana
Pesa ni ya walipa kodi sio ya kikundi fulani au ya Magufuli
Tuondolee ukoloni mamboleo
Bora kufa maskini na mateso ya dhiki kuliko kuongozwa na misisiem
Hizi pesa mtazilipa tu siku moja
Tusitafutane ubaya
 
Umemtukana Rais matusi makubwa,kwamba Rais amewasusa wanambeya kisa wamechagua upinzani?Yaani kama kuna Rais wa hivyo duniani basi ni mwendawazimu!
 
Hahaha maendeleo gani watapata kama sio kuwadanganya?!

Majimbo ya ccm wamepata maendeleo gani ambayo Mbeya mjini wameyakosa?!
 
Back
Top Bottom