Wenye mawazo kama yako wapo hivi;Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.
Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.
We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
Kama ulichoandika hapa, ndicho Rais anafanya, kwamba anasusia maeneo flani ya nchi, kisa ni wafuasi wa chama cha upinzani, basi huyo Rais ni MPUMBAVU. Ila kama umeandika hapa, kwa ujinga wako mwenyewe, unafaa kukamatwa na kuwekwa ndani kwa masaa yasiyopungua 8760.Mimi naongea haya kwa moyo safi.nmetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nlienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Endelea kuwadanganywa wapuuzi wenzio.wenye akili watatambua ninachosema. Wana Mbeya wengi nadhani wanaona mabadiliko yaliyoko sasa baada ya wao kurekebisha uhusiano wao na Mh. Rais. Mimi nmewashauri wajifunze kutokana na makosa.
Wakiendelea na Ujinga wa kujifanya wana misimamo watakuja kunambia.mkoa utasimama kwa miaka mitano mingine. Sasa sidhani kama wapo tayari kwa hilo.
We endelea tu kuchezesha hayo makalio hapo ...ntakupata tu.
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Mimi naongea haya kwa moyo safi. Nimetoka Mbeya jana. Mara nyingine kabla ya jana nilienda Mbeya mwaka 2018.
Leo hii baada ya ziara ya Mh.Rais Jijini Mbeya na kusuluhisha mambo yake na Wanamkoa huo ndo mambo yameanza kubadilika.angalau sasa barabara zinajengwa na maendeleo mengine.
Jiji la Mbeya lilisuswa toka 2015 na ni kutokana na misimamo yao ha hovyo dhidi ya CCM na Mh.Rais. kitu ambacho kilimkwaza sana Mh.Rais na yeye akaamua kulisusa jiji hilo ili kuwakomoa wananchi wanaojifanya wao wana Dunia yao.
Ushauri wangu:
Ili Jiji la Mbeya liendelee msimchague Joseph Mbilinyi. Mtasababisha matatizo mengine kwa jiji hilo.kwa saza wekeni maendeleo mbele.Sugu mnaweza mpatia kazi nyingine lakini si ubunge.
Kama mnampenda sana hata mumpatie cheo cha kaka wa Mwanjelwa but si ubunge. Chagueni mtu ambaye anakubalika na CCM.Ili sasa matakwa yenu yafike mbele ya Rais kwa urahisi na kufanyiwa kazi.
Mwaka 2020 bado Rais ni John P. Magufuli hilo linaeleweka. Sasa tumieni nafasi hii kwa mambo ya maendeleo.
Labda asilimia hiyo ni kwenye ukoo wenu wa panyaUnaweza kuwa umeongea upuuzi. Ila ukweli ni kuwa 90% naishi mtaani na wapiga kura rahisi sio wapiga kura wa jamiiforum. Ukweli asilimia kubwa wanaikubali CCM
Majitu mfano wa mleta mada yanapaswa kupuuzwa tu ,hivyo kabisa.Kwahiyo hapo ndipo akili yako ilipoishia?
Si ajabu kusikia nawewe umehitimu na kupewa cheti cha kidato cha 4.
Badala ya kumsema Rais ambaye fedha zote ziko mkononi mwake atende bila ya upendeleo wewe unawaambia wanaMBEYA wawacjague CCM ambao wameiharibu nchi kwa miaka 59 sasa.