Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Ondoa barabara zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi. Ondoa misaada 2 (SAUT Road 2005 Magufuli, na Nella to Airport pesa za Uhuru-Magufuli).
barabara hizi zikijengwa na kina nani[emoji116]
Barabara ya sabasaba to buswelu
Barabara ya Ilemela to malaika beach.
barabara ya buzuruga to pasiansi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimezaliwa Arusha nikichangia ya mwanza n DHAMBI màana serikali ya mwanza ndio inatakiwa Uzingatie ya mwanza kama ipo lkn
 
Kama Dsm tu bado ni jiji la hovyo seuze Mwanza? Hii nchi bado ina safari ndefu sana....

Haya tunayoita majiji, majimbo masikini kabisa kule Marekani kama Mississippi yana afadhali.
 
Kama Dsm tu bado ni jiji la hovyo seuze Mwanza? Hii nchi bado ina safari ndefu sana....

Haya tunayoita majiji, majimbo masikini kabisa kule Marekani kama Mississippi yana afadhali.
Hivi najiulizaga serekali ya ccm mipango miji ndo imewashinda
 
Naunga mkono hoja mkuu najua unauchungu kama mimi, mpaka inafikia hatua huwa nawaza labda serikali inalihujumu hili jiji lisikue kabisa.
 
Musoma ? Hako kamji na mtandao wa barabara zake unalinganisha na mtandao wa barabara za Jiji la Mwanza ? Hauko serious
Mkuu angalia coverance, Mwanza ni jiji kubwa sana lkn lami imecover percent ngapi ya mji? Ukilinganisha na musoma?
 
Wewe kojoa ukalale usiwe unalinganisha Jiji la pili nchini Tanzania na hako kajiji sijui unakaita Musoma.
Mtoa mada hajalinganisha Mwanza na jiji la Musoma mkuu soma vizuri utamuelewa, ukisoma juu juu utahisi mtoa mada ana chuki na Mwanza yenu lakini sio hivyo.
 
Mkuu unakosea unaposema sisi wasukuma, usiingize ukabila kwenye hizi mijadala.
 
Ufinyu wa barabara ni tatizo kubwa mwanza,tatizo la maji nadhani linachangiwa na jiografia ya milima wenzenú wa shinýanga ile tambarare inawabeba sana
Wasijifiche kwenye jiografia ya mji, mbona huko Seoul, Rio de janeiro na miji ya kariba ya mwanza huko duniani hawalalamiki masuala ya maji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…