barabara hizi zikijengwa na kina nani[emoji116]Ondoa barabara zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi. Ondoa misaada 2 (SAUT Road 2005 Magufuli, na Nella to Airport pesa za Uhuru-Magufuli).
Kaka mara ya mwisho taa za barabara ya Musoma zimewaka ni lini au taa za Kenyatta road ☻Kumbe hizi hazifanyi kazi ..Mara ya mwisho kwenda mwanza ilikuwa Lin kakaView attachment 2595624
Sent using Jamii Forums mobile app
Plus hata taa za barabara ya Nyasaka nazo ni giza totoro usikuKumbe hizi hazifanyi kazi ..Mara ya mwisho kwenda mwanza ilikuwa Lin kakaView attachment 2595624
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni baadhi ya barabara ndio unasema..... hujaona project ya uwekaji wa taa... kenyata road wamefika mkuyuni .. airport road wamefika Ghana..Kaka mara ya mwisho taa za barabara ya Musoma zimewaka ni lini au taa za Kenyatta road ☻
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Sasa what is the use of kuweka taa Kenyatta wakati wana mpango wa kuipanuaKumbe ni baadhi ya barabara ndio unasema..... hujaona project ya uwekaji wa taa... kenyata road wamefika mkuyuni .. airport road wamefika Ghana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Watangoa ..na sio kenyata road tu Hadi Nyerere road watangoaSasa what is the use of kuweka taa Kenyatta wakati wana mpango wa kuipanua
Watazing'oa? Au itakuaje [emoji1]
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
We changia tuNimezaliwa Arusha nikichangia ya mwanza n DHAMBI màana serikali ya mwanza ndio inatakiwa Uzingatie ya mwanza kama ipo lkn
Wajenge barabara za mtaani asee
Sasa nichangie wkt hata cjawah fikaa uko Kwa wasukumaa mkuuu
Uliza wewe mkuu!Ni jiji gani gani hapa Tanzania Lina barabara za lami mitaani?
Na hawana huo mpangoKatika vitu serikali ya ccm imefeli ni kwenye suala la mipango miji na matumizi sahihi ya ardhi,mwanza ni jiji la pili linatakiwa lipangwa lipangike.
Hivi najiulizaga serekali ya ccm mipango miji ndo imewashindaKama Dsm tu bado ni jiji la hovyo seuze Mwanza? Hii nchi bado ina safari ndefu sana....
Haya tunayoita majiji, majimbo masikini kabisa kule Marekani kama Mississippi yana afadhali.
Naunga mkono hoja mkuu najua unauchungu kama mimi, mpaka inafikia hatua huwa nawaza labda serikali inalihujumu hili jiji lisikue kabisa.Mfano ukiwa unatokea Tarime ukishaona tu kibao pale Bunda cha kwaheri mkoa wa Mara sasa unaingia Simiyu to Mwanza jua ndiyo mwisho wa lami standard sasa ni mwendo wa mitikisiko, mashimo, madaraja ya chuma ya kizamani, marekebisho ya barabara ya yanayofanyika main road zaidi ya miaka mitatu kila siku magari yanapitishwa pembeni ya barabara kwenye madimbwi n.k
kiufupi Mwanza imesahulika mno hapa Tanzania kwenye suala la barabara mpaka wakenya wanapata kiburi cha kulinganisha Kisumu na Mwanza.
Na siyo hivyo tu ni kweli kuwa nyuma ya Kampala ni Mwanza ndilo jiji linalofuatia kwa ukubwa kwa majiji yote yanayopakana na ziwa Victoria lakini ukiilinganisha Mwanza kimiundombinu na Kigali, Kampala, Entebbe, Kisumu ni wazi Mwanza ndiyo inavuta mkia kwenye list.
Mkuu angalia coverance, Mwanza ni jiji kubwa sana lkn lami imecover percent ngapi ya mji? Ukilinganisha na musoma?Musoma ? Hako kamji na mtandao wa barabara zake unalinganisha na mtandao wa barabara za Jiji la Mwanza ? Hauko serious
Mtoa mada hajalinganisha Mwanza na jiji la Musoma mkuu soma vizuri utamuelewa, ukisoma juu juu utahisi mtoa mada ana chuki na Mwanza yenu lakini sio hivyo.Wewe kojoa ukalale usiwe unalinganisha Jiji la pili nchini Tanzania na hako kajiji sijui unakaita Musoma.
Mkuu unakosea unaposema sisi wasukuma, usiingize ukabila kwenye hizi mijadala.Ushamba jadi yenu wasukuma. Msivyo kuwa na exposure ya Majiji. Mkiona mwz ilivyo mna zuzuka! Mkidhani mmefika. Wakati ni uchafu tu. Jiji halipo hapo soko kuu, msukuma ww. Jiji liko pembeni. Ktk makazi ya Raia. Ndio maana Halmshauri na stendi zina hama. Jiulize ni mtaa mingapi zina lami ziliko Halmshauri za Jiji?
Wasijifiche kwenye jiografia ya mji, mbona huko Seoul, Rio de janeiro na miji ya kariba ya mwanza huko duniani hawalalamiki masuala ya maji?Ufinyu wa barabara ni tatizo kubwa mwanza,tatizo la maji nadhani linachangiwa na jiografia ya milima wenzenú wa shinýanga ile tambarare inawabeba sana