Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
Za viwandani mkuu.Kazi gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za viwandani mkuu.Kazi gani
ngoja nikajaribu bahati mkuu.Labda huko kwenye mashamba ya mikonge
Nimeandika nikafutaMbona hata Arusha haichangamki muda huo?
Huko Njiro hiace zinaamka saa 12.. napo ni chache, saa 2 mama mihogo ndo anaichemsha.
Dar hiace hawalali
Kwanini?Nimeandika nikafuta
Njoo TangaZa viwandani mkuu.
😀😀Mbagala ni noma saa 2 usiku mt ndo anafungua biashara 😀😀😀Ukitaka kujua maana ya mishemishe kaishi Gongo la mboto na Mbagala 🤣🤣🤣kuna vurugu masaa 24.
🤣🤣Kama hujazoea kule unajishtukia usiku ...Kipind fulani palikuwa na mchezo wa kutoboa madirisha aisee na usiku nasikia watu wanatembea wanapita karibu na dirisha mpaka unahisi ni wezi.😀😀Mbagala ni noma saa 2 usiku mt ndo anafungua biashara 😀😀😀
Nishawahi fika saa 8 usiku ila nilikuta watu had nilishangaa wako busy na mishe zao 😂😂😂
Ya kujiuza ndio nyepesi zaidi...Tanga ni sehemu gani naweza pata kazi kiwepesi wakuu?.
Sorry nje ya mada..Ni kweli aisee Tanga haijachangamka kabisaa
Uvivu uvivu uvivuuu
HapanaSorry nje ya mada..
Huyo kwenyee avatar ni wewe?
#YNWA
Nenda mapojoni ukachimbe mihogo, kule kazi daily na wanakuchukua usiku ukafanye bure.Tanga ni sehemu gani naweza pata kazi kiwepesi wakuu?.
"Wanakuchukua Usiku ukafanye bure" nahitaji ufafanuzi lkn pia sijaelewa hapa mkuu kwamba hakuna malipo yoyote yale hata baada ya kufanya kazi?Nenda mapojoni ukachimbe mihogo, kule kazi daily na wanakuchukua usiku ukafanye bure.