Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
HahahahahahahaahahahahahahhahahahahahahahahhahahaahhaahahahahahahahahhaahahhaahhahahahaSamaki kaiva sana akarojeka nikapoteza mzuka hata wakukukaribisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora ningebaki na ratiba yangu ya njegere
Ulihamia kwa safari lager ukasahau kama unapika? [emoji1787][emoji1787]Samaki kaiva sana akarojeka nikapoteza mzuka hata wakukukaribisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora ningebaki na ratiba yangu ya njegere
Basi ni vyema, atakuwa kakulia Burundi huyo[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Namkomaza nini mkuu
Mtoto wa miaka tano huyu
Alikuwa hali kitu yaani kila kitu hali anyway nadhani ni kutokana na kubadili mazingira alipokulia utotoni sio tz ila atleast sa hivi anajitahidi
Nafurahi kama baba
Nakunywa dostdy hof leo..sigusi pombe kabisaUlihamia kwa safari lager ukasahau kama unapika? [emoji1787][emoji1787]
Dogo umejitahidi kiasi chake.
Hapana sio africaBasi ni vyema, atakuwa kakulia Burundi huyo[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Chief chief hongera 😅
Mbona mboga imetoka vizuri sana❓ Umepika wewe hii au mkeo, Nahisi amepika mkeo na alivyo kuwa anapika kazi yako ilikuwa ni kupiga picha tu, 😆😆View attachment 1170371
Nimemaliza kupika mzigo unatengwa kwa kuliwa karibuni wakuu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125][emoji125]
Pamoja mkuu...Chief chief hongera [emoji28]
Hahahaha siku nikiwa natengeneza yule mdudu haramu nitakutag...pale ndio huwa sikoseiDogo umejitahidi kiasi chake.
Sijawahi kumla na siwezi, dubwasha lichafu lile[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hahahaha siku nikiwa natengeneza yule mdudu haramu nitakutag...pale ndio huwa sikosei
Mama yake yuko wapi?Hapana sio africa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa style hii humu kuna wadada wengi tu watashikwa na "wivu wa Kike!", kwa sababu wao wanachojua ni kuchemsha chai tu kwa heater na kupigia simu mchakata chips alete na vipapatio.
Mkuu akili ya zero mbele ya wadada, hapo atatelekeza msosi na washkaji akimbilie huko[emoji3] [emoji3] [emoji3] Zero IQoya achana na msosi njoo apa njia panda ya area d kuna demu anakusubiri,,keshalipia yupo naima lodge
Kumbe sometimes unajitambua eeh, hongera, nilidhani ni zero zero kote[emoji3]
Afu unashushia na papuchi ya baridiii!