Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Jikoni leo(sikukuu) na hazard cfc

Ha hahaha hahahahah. Ukiona kimya sikoment huku ujue simu ipo chaji Mimi nipo nje na shughuli nyingine[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naelewa kiutu uzima jamani...

Na hivyo hupendi kutumia simu ikiwa kwa charge
 
Hahaha afanye kazi au apike kwani ameenda kupika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Maana kama anategemewa akapike panaeza pasipikwe kabisa yaani.
Wewe umejiandaa sio kidogo
Hutaki hata kusogeza vyombo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naelewa kiutu uzima jamani...

Na hivyo hupendi kutumia simu ikiwa kwa charge
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nitakuchapaaaa
 
Back
Top Bottom