Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Chapati Za Kusukuma Naona Ndio Naangaika Nazo Kwa Sasa Nikimaliza Hapo Sidhani Kama Kuna Chakula Kitanisumbua Tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23]
Hapa nilipo bado sijaanza kuviosha
hatarii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kwanini kuosha vyombo ni tatizo kubwa kwenu?
Hili tatizo hata Mungu aliligundua mapema ndio maana akamuumba mwanamke. Tena ndio nikutane na sufuria lina mafuta mafuta yameganda kuliosha inahitaji wito.
Weeee mvivu kukuna nazi eee mie wallah hapo bila nazi naaga kabla hakijaivya labda samaki wa Maji baridi7. Nimetia chumvi na kusubiri kwa dakika kadhaa hadi samaki waive pamoja na mchuzi/supu yenye mchanganyiko wa nyanya, karoti, kitunguu na hoho.
8. Sasa mzigo umeiva uko tayari kuliwa kwa chakula aina ya wali, ugali au chochote utakachoona kinafaa kuliwa kwa mboga hizi. hapa nitakula kwa ugali.View attachment 1177893
Wewe naona umekaribia kufuzu, mimi huko bado kabisa sijagusa
Kupika sio kazi. Kazi kuosha vyombo aisee
Baby shem, naomba weekend hii nikutembelee ili unipikie[emoji39][emoji39][emoji39]Chapati Za Kusukuma Naona Ndio Naangaika Nazo Kwa Sasa Nikimaliza Hapo Sidhani Kama Kuna Chakula Kitanisumbua Tena
Rahisi sana nazipika kila Siku gheto kwanguChapati Za Kusukuma Naona Ndio Naangaika Nazo Kwa Sasa Nikimaliza Hapo Sidhani Kama Kuna Chakula Kitanisumbua Tena
Baby shem, naomba weekend hii nikutembelee ili unipikie[emoji39][emoji39][emoji39]
Rahisi sana nazipika kila Siku gheto kwangu