Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Hilo zoezi la kuwaweka samaki kwenye maji yaliyochemshwa umeniacha kwenye mataa Mkuu. Sijawahi kuona wala kusikia na nimebahatika kuwaangalia wapishi wazuri sana akiwemo Mama yangu. Yeye na wengine samaki wa kukaangwa huwekwa kwenye sufuria iliyoko jikoni hivyo hivyo bila kuwaweka majini na ladha ya mchuzi wake na samaki acha kabisa Mkuu.
Hiyo staili niliibia kwa mrembo wangu maana nilikuwa namega utaalamu wa mapishi, ndio nikaamua niifanye kwa vitendo
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Namwonea wivu mwanamke utakaye muoa...hakuna raha kama kuolewa na mume anayejua kupika[emoji39]
Najua yeye anajua zaidi yangu, atanifundisha zaidi maana nitakuwa bega kwa bega jikoni kuanzia kumsogezea vitu muhimu wakati wa kupika.
 
Baadhi ya Wabongo watakwambia kalishwa LIMBWATA yule! Mwanaume mzima eti anaingia jikoni na mkewe yupo 😂😂😂😂

Namwonea wivu mwanamke utakaye muoa...hakuna raha kama kuolewa na mume anayejua kupika[emoji39]
 
Baadhi ya Wabongo watakwambia kalishwa LIMBWATA yule! Mwanaume mzima eti anaingia jikoni na mkewe yupo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uzuri siku hizi ni mambo ya self contained, jiko ndani kwa ndani. majirani hawawezi kujua kama mtu yupo ndani jikoni hadi waone kwa macho
 
Mboga za leo-Kuku
IMG_20190816_201906.JPG
 
Wanaume wa jf mmeamua kupika[emoji39][emoji39][emoji39]
 
Back
Top Bottom