Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo staili niliibia kwa mrembo wangu maana nilikuwa namega utaalamu wa mapishi, ndio nikaamua niifanye kwa vitendoHilo zoezi la kuwaweka samaki kwenye maji yaliyochemshwa umeniacha kwenye mataa Mkuu. Sijawahi kuona wala kusikia na nimebahatika kuwaangalia wapishi wazuri sana akiwemo Mama yangu. Yeye na wengine samaki wa kukaangwa huwekwa kwenye sufuria iliyoko jikoni hivyo hivyo bila kuwaweka majini na ladha ya mchuzi wake na samaki acha kabisa Mkuu.
da mimi nilikuwaga najuwa mwifwa ni mwanaume kumbe siyo?
Namwonea wivu mwanamke utakaye muoa...hakuna raha kama kuolewa na mume anayejua kupika[emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba wanaume huwa hawapiki...?
Karibu mkuu tule ugali samaki
Najua yeye anajua zaidi yangu, atanifundisha zaidi maana nitakuwa bega kwa bega jikoni kuanzia kumsogezea vitu muhimu wakati wa kupika.Namwonea wivu mwanamke utakaye muoa...hakuna raha kama kuolewa na mume anayejua kupika[emoji39]
Namwonea wivu mwanamke utakaye muoa...hakuna raha kama kuolewa na mume anayejua kupika[emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baadhi ya Wabongo watakwambia kalishwa LIMBWATA yule! Mwanaume mzima eti anaingia jikoni na mkewe yupo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio yule jirani yangu mlikuwa na house girl wanne?Naomba unifunze kusonga ugali
Punguza mafuta na nyanya weka hoho na karot za kutosha kuleta rojooMboga za leo-KukuView attachment 1183146