Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.

Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
Huu ugali uliisha na uliliwa na watu wangapi?
 
Haha kwamba tumboni kuna chumba na sebule. Ila kuna wanaume wanakula mpaka sio vizuri[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu picha ya huyo mtu uliyotuwekea juu ya bandiko lako ni ya aina gani ya binadamu?

Dume jike ama ina represent nini kwenye mukatadha wa habari hii?
 
Tulisaidiana na mtu mmoja tukapika huo msosi
IMG_20190609_150017.jpg
 
Kabla ya kujua huko chini unapika nini ila huo ukataji wakaroti sio
Dah...umeona eeeh....kama unapika kwa zaidi ya nyuzi joto 60°C karoti zinatakiwa ziwe na umbo la pembe 4 (cube) kwa kipimo kisichopungua milimita 4....ili zisipoteze virutubisho ...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.

Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
@Mwifwa huu ugali wote ulikula mwenyewe?[emoji848]
 
Back
Top Bottom