Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Ahsante sana mh mjumbe, ingawa kwa upishi huu nina wasiwasi kama utaja kuoa...[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi pia napenda kula chakula na mpishi wake mh mjumbe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi pia napenda kula chakula na mpishi wake mh mjumbe
Mh mjumbe, naona leo kidogo umeniangusha kwenye hilo dongo. Kalikuwa kadogo sana
 
Mh mjumbe, naona leo kidogo umeniangusha kwenye hilo dongo. Kalikuwa kadogo sana
Nakuahidi sitokuangusha mh mjumbe, kuwa na imani na mimi[emoji2][emoji2]
 
11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.

Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
Mkuu kwa hii nguna kwanini wachawi wasikuchukue ukalime usiku wa leo tu?
 
Back
Top Bottom