Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya gemu yetu ndio nitavuta bana, unataka niingie kwenye mashindano bila kupiga kambi....
Hiyo itakuwa ajali kazini
Sema unaniogopa ndio maana umekuja kimya kimya
Huo ndio ugali wa kiume....[emoji23][emoji23]Ugali wote huu unamaliza peke yako?
Ahsante sana mh mjumbe, ingawa kwa upishi huu nina wasiwasi kama utaja kuoa...[emoji23][emoji23]Nakuahidi sitakuangusha mh mjumbe, karibu sana dinner ya ugali samaki
Kwanini asioe? Kumbe mnaoaga wapishi sio wake?Kwa mapishi haya utaoa kweli
Mh mjumbe, naona leo kidogo umeniangusha kwenye hilo dongo. Kalikuwa kadogo sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi pia napenda kula chakula na mpishi wake mh mjumbe
Mkuu kwa hii nguna kwanini wachawi wasikuchukue ukalime usiku wa leo tu?11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905