Jikoni na Mwifwa, upishi wa mboga(samaki)

Wait,inamaana unaviacha vikiwa vichafu hadi ukitaka kupika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23]
Hapa nilipo bado sijaanza kuviosha
 
Yeleuwiiiii[emoji134][emoji134][emoji134]
Sasa unavificha wapi?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23]
Hapa nilipo bado sijaanza kuviosha
 
Hivi kwanini kuosha vyombo ni tatizo kubwa kwenu?

Hili tatizo hata Mungu aliligundua mapema ndio maana akamuumba mwanamke. Tena ndio nikutane na sufuria lina mafuta mafuta yameganda kuliosha inahitaji wito.
 
Hili tatizo hata Mungu aliligundua mapema ndio maana akamuumba mwanamke. Tena ndio nikutane na sufuria lina mafuta mafuta yameganda kuliosha inahitaji wito.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Weeee mvivu kukuna nazi eee mie wallah hapo bila nazi naaga kabla hakijaivya labda samaki wa Maji baridi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…