Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
Nitashukuru sana demiss!!
Ugali wote huu unamaliza peke yako?
cooking is mazingaumbwe madamUkijua kupika rahaa....
Cooking is an art....
Tubadilishane basiNina wivu sana haya nimekulipa na mmView attachment 1177900View attachment 1177901View attachment 1177902View attachment 1177903View attachment 1177904
Mwifwa tayari..chako badoNaona kitu tayar
Tubadilishane basi
Mwifwa tayari..chako bado
mkuu mboga haina weseKaribu mkuu tule ugali samaki
cooking is mazingaumbwe madam
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
nayaweza ,wee upiki?Sanaa hasa ukijua kuyacheza hayo mazingaombwe....
Huu ugali mweupe sana ndugu mjumbe??11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905
Huu ugali mweupe sana ndugu mjumbe??11. Ugali tayari umeiva na nimeupakua kwenye sahani tayari kwa kuliwa.
Karibuni sana tule ugali wa kibachela ambapo hakuna kuhoji hata kama haujaiva vizuri, ukizidisha chumvi kwenye mboga unauchuna na kula kibishi maana hauna wa kumuuliza kwa nini chakula kimekuwa cha namna hii kama wale ambao wana wake zao.View attachment 1177905