MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Na inanitesaga kweli lkn ndio hivyo! Nafikiri ni tatizo la kisaikolojia, nikipataga shida hata sitaki watu karibu mpaka nivike kwenye Ile changamoto ndio narudi kwenye mstariHiyo ni mbaya mkuu, lazima uwe na watu unao waamini siku ukipata tatzo kubwa waweze kukusaidia
๐๐๐๐๐๐๐๐๐Wewe ni kiboko ya wachawi wa TzMimi ni mtu sijui kusamehe ,ukinikosea usikae kizembe jua lazima nikulipe .
Ila Mimi ni mtu siwezi kusema hiki sijui ,yaani wanakijiji hata waniulize raisi wa marekani kala nini leo lazima nitoe jibu tu .
Imefika hatua Sasa kijijini naitwa google
kujikwezaMkuu mapana sitini ndyo kitu gani
Niombee tu๐๐๐๐๐๐๐๐๐Wewe ni kiboko ya wachawi wa Tz
Kumbe ujanja wako hapa tu ๐ kwenye kuandikaConfidence mbele ya umati wa watu ni 0%
Ila duu tunavyo Kutana navyo huwa hakuna ku rewind, yaani hakuna kugeuka nyuma hata kwa sauti unayo itambuaMimi ni mwanaume, ila wanawake huwa nawaahidi wakija nitawapa nauri lakini wakija hakuna kitu wanapata zaidi ya ........
Nyuma ya keyboard hunitoi Ila live mmmmh ๐๐๐๐Kumbe ujanja wako hapa tu ๐ kwenye kuandika
Hujalewa TUNgoja nilewe narudi
Much know ๐๐Mimi ni mtu sijui kusamehe ,ukinikosea usikae kizembe jua lazima nikulipe .
Ila Mimi ni mtu siwezi kusema hiki sijui ,yaani wanakijiji hata waniulize raisi wa marekani kala nini leo lazima nitoe jibu tu .
Imefika hatua Sasa kijijini naitwa google
Kwa nilivyoelewa hapo wewe ni mbinafsi sana.1: Ninajali amani ya nafsi yangu (inner peace) sanaaa ile sana nimepitiliza, kiasi kwamba mtu au kitu kinachoingilia hii amani nitajiepusha tu, inanicost baadhi ya mambo, vitu vya msingi natakiwa kufanya ila kwakua ndo sina amani navyo naviacha, naacha vitu naacha watu.
2: huwa sijipi umuhimu kwa mtu, kama unaona sina umuhimu napaki pembeni, sijipi umuhimu kwa mzazi, kwa mme, kwa ndugu hata kazini.
haujakosea lolote1: Ninajali amani ya nafsi yangu (inner peace) sanaaa ile sana nimepitiliza, kiasi kwamba mtu au kitu kinachoingilia hii amani nitajiepusha tu, inanicost baadhi ya mambo, vitu vya msingi natakiwa kufanya ila kwakua ndo sina amani navyo naviacha, naacha vitu naacha watu.
2: huwa sijipi umuhimu kwa mtu, kama unaona sina umuhimu napaki pembeni, sijipi umuhimu kwa mzazi, kwa mme, kwa ndugu hata kazini.
Tumefanana sana,Mimi ni mwepesi mno wa kuamini watu kuwa ni wema, Ile namna niko huwa nahisi kila mmoja yupo so kind-hearted kama Mimi..!!
Ila madhara yake ni huwa napewa zaidi maumivu na ninaowaamini kuwa ni wema..!
Hii kitu mtu hawezi kuelewa kwa rahisi hasa hasa anaweza kudhani ni mjeuri, unajisikia, unajiona uko perfect, ukikosewa haujui kusamehe n.k ila wala sio hivyo kabisa.haujakosea lolote
Ni kama nimeandika mimi vile, tuko sawa sana
Nishaachana na wanawake wengi kisa kuitafuta inner peace.
Hadi watu wengine wananishangaa sana kwa maamuzi hayo
Haiombwi hivyo ๐น๐น๐น๐นTumefanana sana,
Unaonaje tujumuike pamoja ili tujiliwaze na kisha tuanze kuaminiana mimi na wewe tu?
Mbona unaniwekea uzio nisipate wakufanana nae?Haiombwi hivyo ๐น๐น๐น๐น