Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kujikosoa wewe mwenyewe?Yani kama polisi wa Tanzania wajishtaki kwa utekaji,siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakutana na Mikasa mkuuDah mm Nikikupenda ujue nimekupenda ww tuu na siwezi kukuacha labla uniache ww tuu
Boss Nina shida apa inataka kunitoa roho...fanya jamboUdhaifu wangu mkubwa ni kusema sina yani ukija nililia shida serious au ukiwa na shida serious naweza kuuza hata viatu vyangu ili nikusaidie.
Ni wale watu ambao hupenda kuona mwenzake anafurahi ambaye anaweza kujiskia amani mwenzake akawa na 1B kuliko yeye kuwa na hiyo 1B
Alfu hapo juu ni jina la Adolph ongeza iwe Hitler utakuwa na confidence 🤣🤣 (utani)Confidence mbele ya umati wa watu ni 0%
Dah kuna wanaharamia wanaitumia huo udhaifu kuniumiza mkuu 😭Hujakutana na Mikasa mkuu
Pole mkuuDah kuna wanaharamia wanaitumia huo udhaifu kuniumiza mkuu 😭
We utakuwa mwanamke, mnajua kula nauli anayetuma nauli day 1 kabla ya kuchimba mgodi shikamooMimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Hili tatizo linanifanya nakosa amani wakati mwingine, watu wengi wananitegemea niliwaahidi wakimaliza chuo nitawataftia kazi lakini olaaa😂😂Nina ndugu yangu Ana tabia kama yako au sjui ndo ww🤣.
Hajui kukataa chochote kile hata kama hana uwezo nacho and ahidi tu alafu unaona kimya
Huo sio udhaifu mkuu, hiyo ni roho nzuri kabisaUdhaifu wangu mkubwa ni kusema sina yani ukija nililia shida serious au ukiwa na shida serious naweza kuuza hata viatu vyangu ili nikusaidie.
Ni wale watu ambao hupenda kuona mwenzake anafurahi ambaye anaweza kujiskia amani mwenzake akawa na 1B kuliko yeye kuwa na hiyo 1B
Hilo ni tatizo walilo nalo vijana wengi kwa sasa, haupo pekeyakoConfidence mbele ya umati wa watu ni 0%
Kila mtu anajua kilema chake, na kukitaja yaweza kuwa njia sahihi ya kukielewa zaidiKujikosoa wewe mwenyewe?Yani kama polisi wa Tanzania wajishtaki kwa utekaji,siyo?
Hiyo ni mbaya mkuu, lazima uwe na watu unao waamini siku ukipata tatzo kubwa waweze kukusaidiaUdhaifu wangu mkubwa ni kuona naweza pambana na hali yangu mwenyewe hata linikute gumu gani nakomaa nalo peke yangu.....Sina MTU wa karibu ninayemuamini asilimia mia
Mkuu mapana sitini ndyo kitu gani1.Sina uvumilivu ukizingua on sport nakupa makavu yako aiseee.
2.Mapana sitini yataniua.
Mimi ni mwanaume, ila wanawake huwa nawaahidi wakija nitawapa nauri lakini wakija hakuna kitu wanapata zaidi ya ........We utakuwa mwamke, mnajua kula nauli anayetuma nauli day 1 kabla ya kuchimba mgodi shikamoo