Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Hahahaha 😁😁 uko wapi?umenisisimua we binti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha 😁😁 uko wapi?umenisisimua we binti
Kigamboniwap?
Come this way ✉️Kigamboni
Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmojaHixi
Sijawahi kumuacha Mungu wangu HILI NI HAKIKA
We fala utakufa kwa nyegeumenisisimua we binti
Unachanganya unga wa mdalasini na asali then unatumia kijiko kimoja asubuhi na jioniUnafnyeje?
Ngoja ni fanye hivyo, maana ake.Unachanganya unga wa mdalasini na asali then unatumia kijiko kimoja asubuhi na jioni
HixiMimi siwezi kusema hapana, hata kama najua siwezi kutimiza jambo ninalo ahidi lakini bado naahidi na mwisho sitimizi.
Sijawahi kumuacha Mungu wangu HILI NI HAKIKAKinatibika Mkuu, suluhisho ni kumrudia Mungu tu
Sio mimi Jr!Huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja
Will you let me in..?Come this way ✉️
Mimi kila mwanamke namwona mzuri.Kila mwanamke namtaka.. Jamani niombeeni
100% sureWill you let me in..?
Fanya hivyo mapema mkuuNgoja ni fanye hivyo, maana ake.
Kuzodolewa ndo mwanzo wa kurekebishwa🏃🏃🏃Niwatajie udhaifu ili mnizodoe Thubutuuu!!
Ibaki siri yangu tyuuu.!! 😹😹😹
Sijui kama hii itaingia kweny category ya udhaifu ila mm ni mtu msafi sana na ninapenda sana kupanga vitu viwe katika systematic order, udhaifu unakuja pale nitakapo kaa na mtu mchafu siwez kuvumilia, ntamchana tuu live mwisho wa siku tutakuwa na tension baina yetu.
Another thing is kupangilia vitu, yaan nikirudi home alaf nikute mtu amevurugua vitu vyangu, aisee nakasirika sana, nikiweka peni juu ya meza nataka nikirudi niikute palepale, nikizima laptop yangu na kuifunga nikirudi nikikuta uliiwasha ukaitumia baada ya hapo hukuizima na kuifunga, aisee nakasirika sana, ndo maana napenda sana kukaa mwenyew kwasababu ya hio tabia ya kutopenda vitu vyangu vigusweguswe.
Una watoto?samahani kwa swali hili.Nilikua kama wewe.Sasa baada ya kupata watoto naona nimeongea Hadi nachoka.Naweza weka kitu mahali baada ya muda mfupi Tu watoto wanahamisha.Sijui kama hii itaingia kweny category ya udhaifu ila mm ni mtu msafi sana na ninapenda sana kupanga vitu viwe katika systematic order, udhaifu unakuja pale nitakapo kaa na mtu mchafu siwez kuvumilia, ntamchana tuu live mwisho wa siku tutakuwa na tension baina yetu.
Another thing is kupangilia vitu, yaan nikirudi home alaf nikute mtu amevurugua vitu vyangu, aisee nakasirika sana, nikiweka peni juu ya meza nataka nikirudi niikute palepale, nikizima laptop yangu na kuifunga nikirudi nikikuta uliiwasha ukaitumia baada ya hapo hukuizima na kuifunga, aisee nakasirika sana, ndo maana napenda sana kukaa mwenyew kwasababu ya hio tabia ya kutopenda vitu vyangu vigusweguswe.
Acha kujilengesha wewekisimiKigamboni