Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Pre Dr.
Alex butogo
F.rutechura
P.charles
Y.jeremiah
M.sahini
L.mussa
I.nchunda
 

prof Idris kikula ni vice chancelor wa UDOM mpak dak hii.
 

Mkuu umetisha...milembe dodoma?
 

wasomi wote hao bda raia ni masikin
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni wazi ulipita Political Science. Mbona umemsahau Dr Bruce a.k.a CNN?

yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?
 
Ni huyo huyo mkuu. Mimi alinifundisha Literature. R.I.P Dr. Massele
 
Sijasema kwa nia mbaya boss.huu uzi utachangiwa na wengi waliopita udsm so nikaona hutopata unachokitaka mkuu.sina ubaguzi btw am sorry kama umechukia.
Nimependa jinsi ulivyomjibu kiungwana sana tofauti na jinsi yeye alivyokujia. Hiyo ndiyo maana ya elimu. Ungemjibu kwa namna alivyokujia tungeshindwa kuwatofautisha
 
yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?

teh teh mkuu umenikumbusha.huyu lymo ndio yule mchagga anayekuja kalewa anafundisha statistics.
 
yap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?

dr lyimo naskia yuko saut now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…