Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ameshatoboa before asingetoboa kivipi ?Bila kufanya hivyo Kigwangala asingetoboa kwa Bashe.
Exactly! Mkakati uliobuniwa na Mkapa.Kumbe majimbo haya hugawanywa ki mkakati !!
Ndo maana hapendi wakulima?Kwa nini tusimtafute "Mkulima" apambane na Magufuli hapo Oktoba; inaonekana 'Wakulima' wanamuweza sana, hapigi raundi mbele yao.
Yule 'mkulima' wa ndege hadi leo anatabasamu tu!
Hahah! Nadhani akimkumbuka huyo jamaa anampigia simu aigipii.Toka jimbo la Chato lianzishwe Magufuli hakuwahi kuwa opposed na vyama vingine kwa kufanya figisu figisu wakati wa mchakato hivyo alikuwa akipita bila kupingwa tu.
Ndiyo maana hata kufanya siasa hawezi maana kazoea vya kunyonga
Sasa Kwanini results zisimbebe?Magufuli ni mchapa kazi yaani ni result oriented hivyo ni mtendaji zaidi kuliko mwanasiasa; hivyo hana hulka ya kupendwa!! Ukimuwekea mpinzani kwenye chaguzi chances za kushindwa ni kubwa kuliko kushinda ndio maana handlers wake wanalilia asiwe na mpinzani!!
Kuna baadhi ya Mods humu ndani wajinga wajinga sana! Sijui wanapatikanaje?Jana niliweka uzi kama huu huu Mods Wakafuta kama mara mbili yani kuna ubaguzi leo tena nimeweka wa Magufuri kauli yake ya kusogeleana umefutwa tena lakini wengine wakipost uzi ahhh hakuna shida,
umeangalia na namba za masanduku ya posta pichani, 3 na 20 wapi na wapi??Mmoja wao akapata mzio wa kudumu na sanduku la kura
Biharamulo tangu na tangu ipo KageraHivi biharamulo ilikuwa mkoa wa Kagera wakati huo au Mwanza ??? Maana watu wanasema ni Msukuma/Mzinza........
Nini kilitokea?Katika post atakayoichukia jiwe ni hii. Huwa hapendi kushindwa. Lakini ndiyo hivyo tena, Kabuye alimbwaga. Historia ingekuwa inafutwa, angeifuta hii. Halafu enzi hizo akiitwa MagufuRI, sasa anaitwa MagufuLI.
Wakulima ni kiboko ya mkemia mwalimuKwa nini tusimtafute "Mkulima" apambane na Magufuli hapo Oktoba; inaonekana 'Wakulima' wanamuweza sana, hapigi raundi mbele yao.
Yule 'mkulima' wa ndege hadi leo anatabasamu tu!
Ndio anachokifanya sasa baada ya kuwa rais, jasiri aachi asili.Toka jimbo la Chato lianzishwe Magufuli hakuwahi kuwa opposed na vyama vingine kwa kufanya figisu figisu wakati wa mchakato hivyo alikuwa akipita bila kupingwa tu.
Ndiyo maana hata kufanya siasa hawezi maana kazoea vya kunyonga