Ndio Mkuu kikubwa hakuna kukata tamaa.
Atakuwa invisible ndo akiwa zamu anafuta post zako. Leo hayuko zamu.Jana niliweka uzi kama huu huu Mods Wakafuta kama mara mbili yani kuna ubaguzi leo tena nimeweka wa Magufuri kauli yake ya kusogeleana umefutwa tena lakini wengine wakipost uzi ahhh hakuna shida,
Tatizo Hana mpinzani, Kama yupo mtaje.Lkn naona safari hii kutoboa kwake kutahitaji sana nguvu za ziada
Kabuye si mtu wa mchezo mchezo
Ova
Acheni kuweka picha ya mheshimiwa kwenye ma plate namba, shauri yenu... hatuko Kenya hapa!
Sijui hawa Jamaa wanabaguanaje mi nilishaacha kupost maana either wanautafutia wa kuunganisha ama unafutwa. Siyo peke yako mkuuJana niliweka uzi kama huu huu Mods Wakafuta kama mara mbili yani kuna ubaguzi leo tena nimeweka wa Magufuri kauli yake ya kusogeleana umefutwa tena lakini wengine wakipost uzi ahhh hakuna shida,
Labda angetoboa kupitia WAMA kama. kawaida yake.Alikuwa ameshatoboa before asingetoboa kivipi ?
ajabu leo huyo mwalimu wa kemia ndio Rais wa nchi si mwalimu mstaafu, hapo ndo utajua kwanini wanasema mwacheni MUNGU aitwe MUNGU.
UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO
Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha.
Mwaka 1990 Mwalimu Magufuli alichuana tena na Mkulima Kabuye kwa mara ya pili. Kabuye alimshinda tena Magufuli na kutetea kiti chake.
Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, jimbo la Biharamulo liligawanywa na kupatikana majimbo mawili (Biharamulo Magharibi na Mashariki). Kabuye aligombea Magharibi akashinda. Magufuli nae akagombea Mashariki na kushinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda magharibi. Baadaye jimbo la Biharamulo Mashariki lilibadilishwa na kuitwa Chato.
Miaka kadhaa baadaye Phares Kabuye alifariki kwa ajali Morogoro. RIP Phares Kabuye. "Bila kuigawa Biharamulo mara mbili nadhani sasa hivi John Pombe Magufuli angekuwa mwalimu mstaafu"
Nini maoni yako?
Source: Daniel Matipa
Veeery trueHuyo mzee angekuwa hai labda angekuwa jela,wangempa kesi ya uhujumu uchumi
Mkuu umeongea fact kabisa, binafsi pia naona hawezi zile story za uongo uongo kama wanasiasa wengine na huongea kitu halisi kama ni kizuri au kinamfurahisha msikiaji umepeta ila kama ni kibaya au hakitamfurahisha msikilizaji inakula kwako na hapa ndipo wanasiasa wanapotuchotaga akili mara nyingi hutuambia yale yanayopendeza masikioni mwetu ili wazidi kupeta tu hata kama sio kweli au kiuhalisia hawafanyi hivyo.Magufuli ni mchapa kazi yaani ni result oriented hivyo ni mtendaji zaidi kuliko mwanasiasa; hivyo hana hulka ya kupendwa!! Ukimuwekea mpinzani kwenye chaguzi chances za kushindwa ni kubwa kuliko kushinda ndio maana handlers wake wanalilia asiwe na mpinzani!!
Una damu ya kunguni! Uwage unawarushia mods hela ya vocha.Jana niliweka uzi kama huu huu Mods Wakafuta kama mara mbili yani kuna ubaguzi leo tena nimeweka wa Magufuri kauli yake ya kusogeleana umefutwa tena lakini wengine wakipost uzi ahhh hakuna shida,
Well saidToka jimbo la Chato lianzishwe Magufuli hakuwahi kuwa opposed na vyama vingine kwa kufanya figisu figisu wakati wa mchakato hivyo alikuwa akipita bila kupingwa tu.
Ndiyo maana hata kufanya siasa hawezi maana kazoea vya kunyonga
Mimi mzaramo baba tuko MkurangaHaha kwan Kagera nzima huishi Wahaya pekee au mkoa utokako lipo kabila lenu tu
Kuna njia nyingi za kupita. Sisi binadamu tumefumbwa tusione baadhi ya mambo. Hivyo acha hizo fikra mfu za isingekuwa hivi ingekuwa vile. Kwani wewe ni malaika?
UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO
Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha.
Mwaka 1990 Mwalimu Magufuli alichuana tena na Mkulima Kabuye kwa mara ya pili. Kabuye alimshinda tena Magufuli na kutetea kiti chake.
Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, jimbo la Biharamulo liligawanywa na kupatikana majimbo mawili (Biharamulo Magharibi na Mashariki). Kabuye aligombea Magharibi akashinda. Magufuli nae akagombea Mashariki na kushinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda magharibi. Baadaye jimbo la Biharamulo Mashariki lilibadilishwa na kuitwa Chato.
Miaka kadhaa baadaye Phares Kabuye alifariki kwa ajali Morogoro. RIP Phares Kabuye. "Bila kuigawa Biharamulo mara mbili nadhani sasa hivi John Pombe Magufuli angekuwa mwalimu mstaafu"
Nini maoni yako?
Source: Daniel Matipa