Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

mbinguni

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
2,759
Reaction score
1,061
Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.

Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
 
Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.

Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Ni jambo la kutafakari sana kuona Aston Villa ikicheza robo fainali za UEFA wakati Man United haijawahi kushiriki hata kwenye hatua ya mtoano tangu kuondoka kwa Sir Alex Ferguson
 
Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.

Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Sahihi kabisa kuwe na majimbo mapya ya muriet na mto wa mbu
 
Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.

Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Naunga mkono
 
arusha population ipo chin yani ni ndogo. mkoa mkubwa ila idadi ya watu ndogo. kuwa na wabunge wengi ni itakua hasara
Arusha mjini lina sifa ya kuwa majimbo mawili. Ina watu zaidi ya 600k
 
Kwa upande mwingine, jimbo la Monduli ni kubwa kijiografia.
 
We unatumia nini kufikiri

Kinachohitajika ni kuongeza Mbunge au kugawa jimbo au kufanya high Badget Allocation.?

Ikiwa jimbo lina idadi kubwa ya watu kinachohitajika ni kuandaa bajeti inayoendana na ukubwa wa jimbo na sio kuligawa jimbo .

Kuligawa jimbo ni kuiongezea serikali mzigo mkubwa kwa walipa kodi.

So kinachohitajika hapo ni matumizi ya akili na sio hizo fikra mgando
 
Jimbo la Monduli halikidhi vigezo vya kugawanywa. Jumla ya watu katika Wilaya ya Monduli hawazidi watu 120,000. Kijiografia imekaa vizuri. Unaweza kuizunguka Monduli kwa masaa manane na ukaimaliza. Unatoka Moita hadi Engaruka kwa masaa manne tu. Unatoka Duka Bovu mpaka Mto wa Mbu kwa dakika 40. Monduli tayari ilikwishagawanywa na ikatoka Wilaya ya Longido. Tusilete masuala ya kisiasa hapa kwa watu kutaka madaraka.

Tunaiomba Tume Huru ya Uchaguzi wawe maakini sana katika suala hili la kugawa Majimbo. Wengi wanaangalia matumbo yao siyo maendeleo ya nchi. Wapi na wapi kugawa Monduli kuwa majimbo mawili. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alitutahadharisha sana na kutoa mfano iweje Jimbo kuwa na watu 8,000?.
 
Jimbo la Monduli halikidhi vigezo vya kugawanywa. Jumla ya watu katika Wilaya ya Monduli hawazidi watu 120,000. Kijiografia imekaa vizuri. Unaweza kuizunguka Monduli kwa masaa manane na ukaimaliza. Unatoka Moita hadi Engaruka kwa masaa manne tu. Unatoka Duka Bovu mpaka Mto wa Mbu kwa dakika 40. Monduli tayari ilikwishagawanywa na ikatoka Wilaya ya Longido. Tusilete masuala ya kisiasa hapa kwa watu kutaka madaraka.

Tunaiomba Tume Huru ya Uchaguzi wawe maakini sana katika suala hili la kugawa Majimbo. Wengi wanaangalia matumbo yao siyo maendeleo ya nchi. Wapi na wapi kugawa Monduli kuwa majimbo mawili. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alitutahadharisha sana na kutoa mfano iweje Jimbo kuwa na watu 8,000?.
Njoo na takwimu za NBS za sensa ya ya 2022.
Unaweza ukasema hata ina watu 0 kama ni kutegemea mdomo wako.
 
Jimbo la Monduli halikidhi vigezo vya kugawanywa. Jumla ya watu katika Wilaya ya Monduli hawazidi watu 120,000. Kijiografia imekaa vizuri. Unaweza kuizunguka Monduli kwa masaa manane na ukaimaliza. Unatoka Moita hadi Engaruka kwa masaa manne tu. Unatoka Duka Bovu mpaka Mto wa Mbu kwa dakika 40. Monduli tayari ilikwishagawanywa na ikatoka Wilaya ya Longido. Tusilete masuala ya kisiasa hapa kwa watu kutaka madaraka.

Tunaiomba Tume Huru ya Uchaguzi wawe maakini sana katika suala hili la kugawa Majimbo. Wengi wanaangalia matumbo yao siyo maendeleo ya nchi. Wapi na wapi kugawa Monduli kuwa majimbo mawili. Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa alitutahadharisha sana na kutoa mfano iweje Jimbo kuwa na watu 8,000?.
NI kutuongezea gharama kubwa walipa kodi
 
Taxation iende sambamba na representation. No taxation without representation ndio chanzo cha Taifa kubwa na imara tulilolikuta katika kizazi chetu. The United States of America.
NI kutuongezea gharama kubwa walipa kodi
 
Taxation iende sambamba na representation. No taxation without representation ndio chanzo cha Taifa kubwa na imara tulilolikuta katika kizazi chetu. The United States of America.
Kwenye hilo jimbo kuna DC/DAS/DED/Madiwani, hao wote wanashindwa kuleta maendeleo isipokuwa Mbunge pekee?
 
Back
Top Bottom