mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,759
- 1,061
Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.
Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.