Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

Hivi Freddy anafanya nini Monduli? Anakubalika?
 
Mkuu umewaza kwa maslahi mapana ya Taifa.
 
Haya majimbo naomba badala yakugawanywa ni ya unganishwe tu maana mjengoni pangekuwa kijiwe cha vilaza.
 
Kwanza kabisa, mimi ningetamani sanaa kila Mbunge anayehitimisha kipindi chake kwenye jimbo husika, angeandika taarifa fupi na ya kueleweka kwa wananchi wa jimboni kwake. Aelezeee ni mambo yepi aliahidi kuyasemea bungeni na kuyapigania kwa ajili ya wananchi wake, na katika hayo ni mangapi yamefanyika kikamilifu, angalau kuna hatua ya utekelezaji umeanza na ushahidi angalau wa picha, na ambayo hakufanikiwa hata kuyaanza. Aidha aelezee pia tangu ameingia bungeni ameweza kutoa mchango gani ambao yeye anadhani umelisaidia taifa. Nadhani hii ni mbinu nzuri pia ya kupiga kampeni kwa urahisi. Kuliko kila baada ya miaka 5, wanapanda jukwaani wanaanza tena kupiga siasa!
Yangu ni hayo, muhimu tukumbuke kufuata maelekezo ya wataalam wa Afya kwani mgeni tuliyekuwa tukimsikia huko kwa majirani tayari ameshaingia hapa nyumbani na ameshakutana na baadhi ya ndugu zetu. Ni huzuni sanaaa.(Hapa nazungumzia Mpox)
 
arusha population ipo chin yani ni ndogo. mkoa mkubwa ila idadi ya watu ndogo. kuwa na wabunge wengi ni itakua hasara
Arusha jiji Lina watu wengi kuliko mbeya jiji sensa ya 2022 kama mbeya inagawanywa kwanin Arusha ambayo Ina watu wengi zaidi isigawanywe hufikirii
 
IPo siku Mungu atasikia kilio cha watanganyika.

Atafuta machozi ya watanzania.
 
Kigongoni
Napajua kona ya kwa babu samuge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…