DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwenye hilo jimbo kuna DC/DAS/DED/Madiwani, hao wote wanashindwa kuleta maendeleo isipokuwa Mbunge pekee?
Shangaa, yaani tunaongozwa na watu wajinga haswaJimbo likiwa kubwa
Kinachohitajika ni kuongeza idadi ya wabunge au kuongeza bajeti ya kulihudumia hilo jimbo?
Mkuu umewaza kwa maslahi mapana ya Taifa.We unatumia nini kufikiri
Kinachohitajika ni kuongeza Mbunge au kugawa jimbo au kufanya high Badget Allocation.?
Ikiwa jimbo lina idadi kubwa ya watu kinachohitajika ni kuandaa bajeti inayoendana na ukubwa wa jimbo na sio kuligawa jimbo .
Kuligawa jimbo ni kuiongezea serikali mzigo mkubwa kwa walipa kodi.
So kinachohitajika hapo ni matumizi ya akili na sio hizo fikra mgando
Haya majimbo naomba badala yakugawanywa ni ya unganishwe tu maana mjengoni pangekuwa kijiwe cha vilaza.Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.
Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Ubunge wa vijijini wa jamii duni huwa unaangalia ukubwa mfuko wako naongea kwa uzoefuShangaa, yaani tunaongozwa na watu wajinga haswa
Hao wote hawawajibiki kwa wananchi. Wana maboss wao.Kwenye hilo jimbo kuna DC/DAS/DED/Madiwani, hao wote wanashindwa kuleta maendeleo isipokuwa Mbunge pekee?
Arusha jiji Lina watu wengi kuliko mbeya jiji sensa ya 2022 kama mbeya inagawanywa kwanin Arusha ambayo Ina watu wengi zaidi isigawanywe hufikiriiarusha population ipo chin yani ni ndogo. mkoa mkubwa ila idadi ya watu ndogo. kuwa na wabunge wengi ni itakua hasara
KigongoniJimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina ongezejo kubwa sana ya watu. Hata taasisi za kibenki kadhaa zimeweka Malawi yake eneo husika.
Kwa spande wa jimbo la Monduli,linapaswa pia kugawanywa. Kuna ukuaji mkubwa sana kwa eneo maarufu la Mto wa Mbu ambapo kuna shughuli nyingi za kiuchumi na kijamii zinaendelea kufanyika kwa kasi sana. Eneo lote la Kigongoni amabalo ni sehemu ya Mto wa Mbu nalo linakua kwa kasi sana.
Kama hawawajibiki kwa wananchi kwanini wanalipwa kwa kodi za wananchi? na kazi yao nini?Hao wote hawawajibiki kwa wananchi. Wana maboss wao.
Hilo ni swali la Kitaifa. Siwezi kuliKama hawawajibiki kwa wananchi kwanini wanalipwa kwa kodi za wananchi? na kazi yao nini?
Tusitetee uzembeHilo ni swali la Kitaifa. Siwezi kuli
patia majibu.
Sisi tunataka uwakilishi. Hatutetei uzembe. Unakuwaje na jimbo linaanzia Simanjiro hadi Oldonyo Lengai.Tusitetee uzembe