KERO Jimbo la Lupa-Chunya limetawaliwa na CCM tangu uhuru, halina barabara ya lami hata nusu kilometer

KERO Jimbo la Lupa-Chunya limetawaliwa na CCM tangu uhuru, halina barabara ya lami hata nusu kilometer

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kuna uwezekano mkubwa Dr Matayo , akawa mgombea mzuri kwenye Jimbo hilo. Na anakubalika na ana makazi kwenye Jimbo Hilo.
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
usiwe na wasi wasi hata kidogo, mambo ni bam bam uchaguzi ujao, barabara zitajengwa na maji safi na salama yatapatikana bila wasiwasi 🐒

Jambo la muhimu zaidi wanainchi wa Jimbo la Lupa, twendeni na Dr Samia Suluhu Hassan Uchaguzi mkuu ujao Oct.2025🐒
 
Jimbo la Lupa, Tarura na Tanrods hawapo nahawajulika wanafanya kazi Gani na ilani ya ccm 2020-2025
hatujui wameifanyia kazi kiasi Gani?

Tunaomba mwenye bajeti ya Tarura au Tanroads Jimbo la Lupa tangu 2020-2025 aiweke hapa.
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hivi kujenga barabara ya lami ni kazi ya mbunge? Hilo Jimbo halina halmashauri? Mbunge ni kisemeo tu, halmashauri ipeleke maombi (mapendekezo na/au bajeti), serikali kuu itoe pesa, halmashauri itekeleze miradi.
 
Na jimbo linatawaliwa na familia moja tu ya kasaka,hovyo.
 
Sio tuu natetea Huwa nawapa Hadi ushauri watu wa Serikali namna bora ya kujenga miundombinu Kwa kuanzia Barabara kuu za kimkakati badala ya kutapanya Rasilimali eti Kila Jimbo liwe na kalami.
Kweli wewe chawa....uliyeshiba damu 😀 😀 😀
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
wapeleke ya nn wakat huko walioko ni wajinga
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
CCM wanapenda hivyo utakuta huyo mbunge ni tajiri na ukoo wake kama Mseveni lakini jimbo lake maendeleo hayasongi.
 
Kuna uwezekano mkubwa Jimbo la Lupa mwaka 2024 hakuna mradi wa kuzinduliwa,na mbio za Mwenge.
 
Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.

Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.

Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.

Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hahaha.....ccm ni ile ile oooh ni ileile
 
Back
Top Bottom