Hatuhitaji Msomi wala mtanashati maana hao ndiyo waliotufikisha hapa. Tunahitaji mtu anayeelewa mahitajiYuko kijana msomi na mchapa kazi , mtamuona muda ukifika. CCM Ina haxina nyongi, sio Kasaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuhitaji Msomi wala mtanashati maana hao ndiyo waliotufikisha hapa. Tunahitaji mtu anayeelewa mahitajiYuko kijana msomi na mchapa kazi , mtamuona muda ukifika. CCM Ina haxina nyongi, sio Kasaka
Kwa mwenendo wa kura za maoni,ajipange sana. Kaifanyia Nini Lupa mpaka sasa?Kuna uwezekano mkubwa Dr Matayo , akawa mgombea mzuri kwenye Jimbo hilo. Na anakubalika na ana makazi kwenye Jimbo Hilo.
usiwe na wasi wasi hata kidogo, mambo ni bam bam uchaguzi ujao, barabara zitajengwa na maji safi na salama yatapatikana bila wasiwasi 🐒Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hivi kujenga barabara ya lami ni kazi ya mbunge? Hilo Jimbo halina halmashauri? Mbunge ni kisemeo tu, halmashauri ipeleke maombi (mapendekezo na/au bajeti), serikali kuu itoe pesa, halmashauri itekeleze miradi.Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hatari sanaNi mashimo na vumbi la kufa mtu. Utadha uko congo
Kote hovyo tu mlugo anaelekea mwaka wa 20 bungeni na hamna kitu anafanya zaidi ya kujimilikisha maeneo ya kuchimbaKwa hiyo ule ujenzi unaoendelea kutoka Makongamano kwenda Tabora/Singida lami itapita angani?
Pili Je ni Kwa Kasaka au Kwa Mlugo?
Tuache kukimbiza mwengeKila sehemu Tzn hii ni strategic kiuchumi ni vile hakuna Rasilimali za kutosha kujenga Kila Barabara Kila mahala Kwa wakati mmja.
Tuache kununua maV8Kila sehemu Tzn hii ni strategic kiuchumi ni vile hakuna Rasilimali za kutosha kujenga Kila Barabara Kila mahala Kwa wakati mmja.
Tuondoe ubunge wa viti maalumuKila sehemu Tzn hii ni strategic kiuchumi ni vile hakuna Rasilimali za kutosha kujenga Kila Barabara Kila mahala Kwa wakati mmja.
Kweli wewe chawa....uliyeshiba damu 😀 😀 😀Sio tuu natetea Huwa nawapa Hadi ushauri watu wa Serikali namna bora ya kujenga miundombinu Kwa kuanzia Barabara kuu za kimkakati badala ya kutapanya Rasilimali eti Kila Jimbo liwe na kalami.
wapeleke ya nn wakat huko walioko ni wajingaUkweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
CCM wanapenda hivyo utakuta huyo mbunge ni tajiri na ukoo wake kama Mseveni lakini jimbo lake maendeleo hayasongi.Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hahaha.....ccm ni ile ile oooh ni ileileUkweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hahahaa eti KongoNi mashimo na vumbi la kufa mtu. Utadha Nia uko congo